denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Hahahahahaha, naisi mdahalo umepangwa na chama flank.Mbona mwenyekiti alisema tundu ndio wa mwisho na akajibu swali lake vizuri.Mbona lukuvi kaja kuchallange hayo majibu?
Mkuu achana na hii biashara ya maparachichi. Kesho ndio mdahalo wa katiba utafanyika.....