Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Wewe ulitakaje?
usifungwe na kihiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitakaje?
Naona Lukuvi anashangiliwa sana kwa vifijo name nderemo.
Genge la wahuni wa Lisu wanalipiza kisasi kwa kumzomea Lukuvi kabla hata hajaongea wameamua kutoka.
Nani anakukimbiza? Andika taratibu kitu kinachoeleweka. Au unajitahidi kuongeza idadi ya posts? BTW najishangaa kureply posts zako za kipuuzi. Ngoja nikiweke kwenye ignore list yanguHao vijana wa cc kablaf hawajpandishw kwenye uda walinyqesha viroba kqanza thn wakapewa ahadi kuwa ujira wao ni jioni akiongea wa ukawa ni zomeamqanzo mwisho akiong wa ccm hatakama ni pumba ni shangilia mwanzo mwisho.its too late tushaelewaga kitahmbo hila za macccm
Ghosryder10233930 said:Genge la wahuni wa Lisu wanalipiza kisasi kwa kumzomea Lukuvi kabla hata hajaongea wameamua kutoka.
Hivi huyo sokwe ndo lissu au???
Du Mkuu TV gani unayoiangalia?
Kwa uelewa wangu mdogo ninafahamu kuwa wazungumzaji wa meza kuu ndio wanakuwa wazungumzaji wa mwisho sasa huyu muendesha mdahalo kafanya nini.
Wanataka kukata matangazo kabla mjadala haujaisha,ili tusiwaone wakipakiwa kwenye UDA.Hahahahahaha, naisi mdahalo umepangwa na chama flank.Mbona mwenyekiti alisema tundu ndio wa mwisho na akajibu swali lake vizuri.Mbona lukuvi kaja kuchallange hayo majibu?
Kwa uelewa wangu mdogo ninafahamu kuwa wazungumzaji wa meza kuu ndio wanakuwa wazungumzaji wa mwisho sasa huyu muendesha mdahalo kafanya nini.
Du Mkuu TV gani unayoiangalia?
Ni Steven Wassira,yani mimi mara ya 1 kumuona huyu mzee nilistaajabu sana,ama kweli evolution ilikuwepo kwa kiasi fulani
Kampa Lukuvi, ndio UDASA kielelezo cha wasomi Tanzania, mdahalo bila maswali! Anasema Mzee Warioba kaleta hoja mpya, sijui kaileta leo saa 12?!Kwa uelewa wangu mdogo ninafahamu kuwa wazungumzaji wa meza kuu ndio wanakuwa wazungumzaji wa mwisho sasa huyu muendesha mdahalo kafanya nini.
Yap ni kweli kabisa. Kwa uelewa wako mdogo ingetakiwa iwe hivyo. But kwa hali ilivyo kilichotokea ndio sahihi na ndio uhalisia wenyeweKwa uelewa wangu mdogo ninafahamu kuwa wazungumzaji wa meza kuu ndio wanakuwa wazungumzaji wa mwisho sasa huyu muendesha mdahalo kafanya nini.