Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na pia ailaani CCM
Kesho tutaelewa propaganda, ukweli na uwongo, Warioba, polepole na salimu wanaattend mdahalo wao
watakuwa nanafasi nzuri kufafanua jambo hili.
To little too late. Tangu awali agenda siri ya CCM to scuttle mchakato wa Katiba mpya. Mission accomplished uchaguzi 2015 katiba inayopendelea CCM.
Watanzania bado tunacheza tu ngoma ya wapigania Madaraka aisee! Lait kama tutayazangitaia waliyoyaongea Kitila na Mpangala naamini tutajikwamua hapa tulipokwama.
Leo nimemuelewa sana Mwigulu, amejitahidi kutokua biasAsema dhambi ya
ccm ni kuweka msimamo wa kichama kama ulivyotolewa na jk wakati
akifungua bunge
mwigulu is maturing.... I never liked this guy but i can say he is maturing
Waliokuwa wanafuatilia mdahalo wa Leo wamemuona lukuvi akiongea kwa jeuri na kejeli nyingi na kusema hata huyo warioba kaleta mapendekezo mapya ya kuongezwa kwenye rasimu aliyo isimamia mpaka imepatikana.
Kesho kutakuwa na mdahalo mwingine na Mzee warioba atakuwepo tunakuomba Mzee wetu uje uthibitishe hili kwa sababu ccm kwa propaganda awajambo kwa sababu wamesomea.
Mzalendo niyule anae samini mawazo ya watu walio toa maoni kama wananchi wanyonge na sio wengine niukawaHakuna mzalendo anaweza kuunga mkono UKAWA.
Do! mimi huyu jamaa... hapana. hahisi harufu ya damu kwa watu wasio na hatia...
Hadhi Ya Nkurumah inashushwa na UDASA..... Hao akina mama wanaosinzia pale nani kawaita?