Huyu mama Tibaijuka ni wa hovyo sana..Kuwaza kuendesha serikali tatu ni gharama ni ujinga wanaowaza wana ccm..Wana ccm wote ni wajinga sana! Huyu profesa anayeendesha mjadala ni mwana ccm mwenye maslahi ya kifisadi ndani ya ccm..Kwenye gari lake kaning'iniza bendera ya ccm...Ni profesa wa CoET kwenye kitengo cha energy...Pia ana maslahi ya kifisadi kwenye mchakato wa gesi Mtwara..Hili kongamano limeandaliwa kwa ajenda binafsi na nakubaliana na Yeriko Nyerere