wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Hii inasaidia nini kwa mtu alie mbali na TV anaetegemea taarifa ya JF kujua kinachoendelea huko Nkuruma,,,
Huyo mkuu ni wakuhurumiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inasaidia nini kwa mtu alie mbali na TV anaetegemea taarifa ya JF kujua kinachoendelea huko Nkuruma,,,
Weee ni -------- tu..huna hoja..
Hamna kasimamia ukweli haijalishi hata kama ni mjumbe wa Ukawa,ukweli ameusema
Kwani wasira kavurugwa kama mpangala? Kama kuongeza serikali ni kuboresha demokrasia tufanye ziwe serikali tano au kanda zote ziwe na rais wake na mawaziri wakuu pamoja na makamu wa rais wake kama hiyo ndiyo hoja.
Profesa Gaudence Mpangala wa RUCO Iringa ameanza kuzungumza.Anasema mara baada ya wabunge wa UKAWA kutoka nje ya BMK yeye,Prof .PLO Lumumba na Prof. mwingine wa UDSM walifanya utafiti.Utafiti wao ulihusu chanzo cha mkwamo huo na utatuzi wake ni nini?.Waliuliza wadau mbali mbali na wakagundua chanzo ni sababu 5.Sababu hizo ni 1. kutozingatia misingi ya sheria inayoelekeza mchakato wa uundaji wa katiba mpya 2. Kuibeza na kuiponda Tume pamoja na uzinduzi wa BMK kwa rais kuzindua 3.Mazingira ya mjadala yalighubikwa na kubeza na kukashifiana 4.Kutokana na sababu hizo 3 UKAWA walitoka nje 5.Mapungufu ya sheria iliyounda mabadiliko ya katiba ambapo bunge maalum limejaa wanasiasa. Kuhusu UTATUZI amesema vitu vitano 1.Rasimu iliyotokana na wananchi wa Tanzania ndiyo ijadiliwe2.UKAWA warudi bungeni na wajadili rasimu iliyoletwa na Warioba 3.Wabunge wote watakaorejea waweke utaifa mbele na waache kujali vyama na kubezana.TANESCo wamechukua umeme
Profesa Gaudence Mpangala wa RUCO Iringa ameanza kuzungumza.Anasema mara baada ya wabunge wa UKAWA kutoka nje ya BMK yeye,Prof .PLO Lumumba na Prof. mwingine wa UDSM walifanya utafiti.Utafiti wao ulihusu chanzo cha mkwamo huo na utatuzi wake ni nini?.Waliuliza wadau mbali mbali na wakagundua chanzo ni sababu 5.Sababu hizo ni 1. kutozingatia misingi ya sheria inayoelekeza mchakato wa uundaji wa katiba mpya 2. Kuibeza na kuiponda Tume pamoja na uzinduzi wa BMK kwa rais kuzindua 3.Mazingira ya mjadala yalighubikwa na kubeza na kukashifiana 4.Kutokana na sababu hizo 3 UKAWA walitoka nje 5.Mapungufu ya sheria iliyounda mabadiliko ya katiba ambapo bunge maalum limejaa wanasiasa. Kuhusu UTATUZI amesema vitu vitano 1.Rasimu iliyotokana na wananchi wa Tanzania ndiyo ijadiliwe2.UKAWA warudi bungeni na wajadili rasimu iliyoletwa na Warioba 3.Wabunge wote watakaorejea waweke utaifa mbele na waache kujali vyama na kubezana.TANESCo wamechukua umeme
Dr Kitila Mkumbo ameamua kuwatukana wajumbe wa BK, wanauwezo mdogo wa kukabiliana na hoja kinzani
Kwani kitila ametoka lini ukawa kama zitto ni ukawa kwa nini kitila asiwe ukawa anashiriki vikao vya ukawa kila siku.
Tangu nianze kufatilia hii Mada wewe ndg ndio umekiwa mtu wa kwanza kuwa msaada kwa walio mbali na.TV tunakishukuru sana hoa.wengine wanamwagika POVU tu,,,,!!!!
Kitila Mkumbo kumbe ni jembe...
Ukisimamia ukweli bila woga utakua jembe tuu!