Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

vijana wa UDA wako full kule wanazomea tu na kushangilia ujinga
 
Nilijua tu huyu Omary kaandaliwa

Na yule wa pili toka ZAnzibar atasema hivyo hivyo
 
Labda niulize maswali kidogo tu, hizo uda zilikua ngapi? Je uda iliwatoa wapi kwenda UDSM? Je imekodishwa gharama za nani au kila mmoja alikua anajilipa? Nauliza hivyo ili kupata uhalisia wa mleta mada isije ikawa ameona uda moja imepeleka watu pale kutoa kikundi fulani akasema uda inasomba watu kwenda kwenye kongamano.

Mwisho sidhani kama kusomba watu ni issue ya kuzungumza humu cha kujadili ni kinatafutwa UDSM ni nini? Imefika mahali tunajadili nani kafanya nini badala na nini kimefanywa. Tubadilike
 
Kuna propaganda na siasa uchwara zinafanywa humu jukwaani na mitandao mingine na waganga njaa eti ccm imesomba watu na kuwapeleka kwenye mdahalo nkrumah.huu ni uzushi mtukufu na ni mwendelezo wa siasa mufilisi. Ccm sio saccos kama hizo zenu wala sio chama cha ukoo. Ni taasisi iliyojengeka miaka na miaka yenye mfumo wake maalum ambao watanzania wote wameukubali na kukipenda chama hiki.

nawataka hao waganga njaa mitandaoni watambue kuwa wameshindwa mapema mno.

mi nlijua unataja waliokuja na uda wameji organize vp kukodisha gari kwa shughuli hii
 
Katumwa huyu Omary Zuberi na waliomtuma wanashangilia.inasikisha sana,Mnyaa anasikitika pia
 
kuna mjinga aliyeandaliwa anaitwa mohameď zuberi ni ovyo
 
Huyu Omary kaongea yake, tusimpinge, sisi nao tuweke maoni yetu
 
CCM wamekabwa koon Dr kitila mkumbo ameongea ukweli kwamba bunge la katiba livunjwe!kabisa tusubiri uchaguzi upite ndipo tuanze mchakato wa katiba mpya!
Amewafurahisha UKAWA leo!
 
CCM ndio wanaoharibu nchi hii kwa kurubuni watu wenye ufahamu mdogo
 
Labda niulize maswali kidogo tu, hizo uda zilikua ngapi? Je uda iliwatoa wapi kwenda UDSM? Je imekodishwa gharama za nani au kila mmoja alikua anajilipa? Nauliza hivyo ili kupata uhalisia wa mleta mada isije ikawa ameona uda moja imepeleka watu pale kutoa kikundi fulani akasema uda inasomba watu kwenda kwenye kongamano.

Mwisho sidhani kama kusomba watu ni issue ya kuzungumza humu cha kujadili ni kinatafutwa UDSM ni nini? Imefika mahali tunajadili nani kafanya nini badala na nini kimefanywa. Tubadilike

UDA imesomba kikundi cha wa watu walioandaliwa na INTARAHAMWEA hakuna kikundi cha watu kutoka buguruni na kuna ushahidi mwigulu anajua hata malipo yapo ya tsh 5000
 
Kuna propaganda na siasa uchwara zinafanywa humu jukwaani na mitandao mingine na waganga njaa eti ccm imesomba watu na kuwapeleka kwenye mdahalo nkrumah.huu ni uzushi mtukufu na ni mwendelezo wa siasa mufilisi. Ccm sio saccos kama hizo zenu wala sio chama cha ukoo. Ni taasisi iliyojengeka miaka na miaka yenye mfumo wake maalum ambao watanzania wote wameukubali na kukipenda chama hiki.

nawataka hao waganga njaa mitandaoni watambue kuwa wameshindwa mapema mno.[/QUOTE ccm ni janga kojoa ukalale
 
Back
Top Bottom