Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli mkuu!!! Hivi mama yako kaacha kugonga viroba?
Kuna propaganda na siasa uchwara zinafanywa humu jukwaani na mitandao mingine na waganga njaa eti ccm imesomba watu na kuwapeleka kwenye mdahalo nkrumah.huu ni uzushi mtukufu na ni mwendelezo wa siasa mufilisi. Ccm sio saccos kama hizo zenu wala sio chama cha ukoo. Ni taasisi iliyojengeka miaka na miaka yenye mfumo wake maalum ambao watanzania wote wameukubali na kukipenda chama hiki.
nawataka hao waganga njaa mitandaoni watambue kuwa wameshindwa mapema mno.
Huyu Zuberi kaandaliwa si siri..
Amewafurahisha UKAWA leo!CCM wamekabwa koon Dr kitila mkumbo ameongea ukweli kwamba bunge la katiba livunjwe!kabisa tusubiri uchaguzi upite ndipo tuanze mchakato wa katiba mpya!
Labda niulize maswali kidogo tu, hizo uda zilikua ngapi? Je uda iliwatoa wapi kwenda UDSM? Je imekodishwa gharama za nani au kila mmoja alikua anajilipa? Nauliza hivyo ili kupata uhalisia wa mleta mada isije ikawa ameona uda moja imepeleka watu pale kutoa kikundi fulani akasema uda inasomba watu kwenda kwenye kongamano.
Mwisho sidhani kama kusomba watu ni issue ya kuzungumza humu cha kujadili ni kinatafutwa UDSM ni nini? Imefika mahali tunajadili nani kafanya nini badala na nini kimefanywa. Tubadilike
kuna mjinga aliyeandaliwa anaitwa mohameď zuberi ni ovyo
Kuna propaganda na siasa uchwara zinafanywa humu jukwaani na mitandao mingine na waganga njaa eti ccm imesomba watu na kuwapeleka kwenye mdahalo nkrumah.huu ni uzushi mtukufu na ni mwendelezo wa siasa mufilisi. Ccm sio saccos kama hizo zenu wala sio chama cha ukoo. Ni taasisi iliyojengeka miaka na miaka yenye mfumo wake maalum ambao watanzania wote wameukubali na kukipenda chama hiki.
nawataka hao waganga njaa mitandaoni watambue kuwa wameshindwa mapema mno.[/QUOTE ccm ni janga kojoa ukalale