Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Hawa vijana wa chadema ni njaa tupu wametumwa Kutoka mtaa wa ufipa, Wassira amewafanya kitu mbaya mpaka wamechanganyikiwa.
 
"...hata kama katiba mpya haita patikana bado itakuwa ushindi mkubwa kwa ccm na raisi jk...." Prof Tibaijuka.

Anasema hayo huku BM likiwa limetumia zaidi ya Bili 27 za kodi za watanzania

mchakato mbona unaendelea vizuri tu,
 
Nasikitika sana kwa msomi kukwepa ueledi wake...na kung'ang'ana na itikadi
 
Mama Rwechungura anampa shule Lissu!
 
Mamaa anaongeaaaa Facts.....Sio lile.boyaaa linasema katibaa Haina Umuhimu.....kwa tanzaniaaaa
 
Kama ilivyolipotiwa hapo mwanzo kuwa chama cha mapinduzi ccm kina mpango kabambe wa kupeleka watu wa kukodi kwenda kumzomea mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni na mjumbe wa UKAWA kwenye mdahalo hapa NKURUMAH HALL. hizi ni picha zikionyesha mabasi ya UDA yakishusha vijana hapa chuo kikuuu maeneo ya Utawala. Ntaendelea kuwapa updates!!!
So hao waliokwenda ni kwamba wamekubali kwenda kuzomewa
 
Vyama vya siasa vya uchocholoni vina watu wa ajabu kama huyu mama mwenezi wa chama cha uchocholoni TLP
 
Back
Top Bottom