Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
Mi naombeni tu jina kamili la m/kiti wa mdahalo...Aitwa Rozy nani vile?....Kaundesha vizuri sana alafu anakijua hasa kinachojadiliwa! (Fatma A Nyangasa) huwa anabania sana watu wasiongee yanayowasibu kwenye MALUMBANO YA HOJA.