Mdahalo wa kujadili Rasimu ya Katiba: Live on ITV

Mdahalo wa kujadili Rasimu ya Katiba: Live on ITV

Dr aley anasema bunge la katiba ni bunge la ccm wala halitakuwa kwa ajili ya watz bali kwa ajili ya chama chao!
 
hakuna kit..lissu analaumu tu badala ya kusema nini kiwekwe ndani ya katiba..ni..ubishi tu sidhani kama tutapata katiba nzuri kama watu wenyewe hawajui wanataka nini na wanabaki kulaumu tu wakati nafasi tunayo tumepewa ya kutafuta katiba mpya usimsifu hajasema lolote bora yule mzanzibari anasema mambo ya msingi ya kufanya na sio kulaumu
Mnyonge mnyöngeni haki yake mpeni!
 
Mbona kaelezea kikawaida tu.....sasa huo unouma wake uko wapi? Huwa sielewi kwa nini mnazuzuka na mambo madogo madogo hivyo....
Unajua nyani unavyozungumzia failure ya hero. . . . .sharti uzungumzie kwa heshima na nidhamu, binafsi nimevutiwa jinsi alivyoelezea kwa mtindo ule!
 
Hv kwann huyu lissu hajapewa uDr yaan mlema ni Dr lakin lissu ajapewa, daaaaa inauma sana!
 
Lisu anasema lililo muhimu zaidi sio yaliyomo kwenye rasimu bali muhimu zaidi kwa sasa ni mchakato wa upatikanaji wa katiba
 
Lisu anasema huu mchakato ni mbovu maana anaesimamia huu mchakato ni raisi ambae pia ana maslahi kwa chama chake(yeye akiwa mwenyekiti)
 
Let me joke kidogo! Tundu shati limemvaaa tehtehteh(plz msinirushie mawe jamani)
 
Lisu anasema huu mchakato ni mbovu maana anaesimamia huu mchakato ni raisi ambae pia ana maslahi kwa chama chake(yeye akiwa mwenyekiti)

Kwa hilo nakubaliana naye kabisa.

That's why the whole new katiba thing is a complete farce.
 
Kwa mujibu wa lisu 2/3 wakipitisha kwenye bunge la katiba, imepita katiba tayari. Kimsingi wajumbe wote wa bunge la katiba wanachaguliwa na raisi! Ccm peke yao wana zaidi ya 70 asilimia, hvyo katiba itakuwa ya ccm!
 
Kazi ipo hatuzungumzi katiba tuitakayo badala yake tunajadili namna ya kuipata hio katiba..
jamani mjadala mada ni katiba tuitakao...mbona kazi ipo.....mwisho tutapata katiba bomu....hawa wasomi hawajui wanacho kifanya wao ni wasomi au jembe kama wanavompenda lakini hakuna maoni anayosema...
 
Wangese ccm wamekata umeme huku mbeya ngoja niwashe jenereta lazima nimuangalie lisu.

Mkuu niliaanda battery mapema sana, njoo tujumuike kusikiliza kupitia radio one. Tanesco ni janga pia!
 
Wakuu cm yangu imeishaji chaji, nasikitika sitaweza kuendelea tena! Ila njelu kisaka yupo ukumbini yy ndio kiongozi wa ile g55 anazungmza now. . . . . .ila cm inazima! Ahsante sana na poleni!
 
aisee tundu lisu katoa maziwa aisee huyu jamaa ni nomaa,i hope that he will be the next nyerere.
 
Back
Top Bottom