Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Mi naombeni tu jina kamili la m/kiti wa mdahalo...Aitwa Rozy nani vile?....Kaundesha vizuri sana alafu anakijua hasa kinachojadiliwa! (Fatma A Nyangasa) huwa anabania sana watu wasiongee yanayowasibu kwenye MALUMBANO YA HOJA.
Rosemary Mwakitwange?! Ni member humu.