Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kinachoonekana ni kwamba alithibitisha kushiriki, so kutotokea bila taarifa ni unprofessional kabisa kwa mtu kama yeye. Kikweli wenzetu wamejawa nandharau sana.
Tafsiri ya haraka, Ok, hata nisipokwenda watanifanya nini?
 
Muandaaji wa mdahalo ulioshindikana jana usiku ukihusisha Makatibu wakuu wa vyama vya siasa Chief Odemba wa STARTV Chief Odemba aliangua kilio cha uchungu hadharani baada ya jambo hilo kushindwa kufanyika kwa sababu ya Katibu Mkuu wa CCM kuingia mitini na kushindwa hata kumtuma senior officer yeyote kumuwakilisha wakati alishathibitisha kushiriki.

Kitendo cha kutoa machozi hadharani Odemba kimewashtua wengi na kujiuliza sababu hasa ni nini?

Watafiti wamebaini kuwa jana KM wa CCM Nchimbi amefedheheka, CCM imepata aibu kubwa kwamba haiwezi siasa za hoja na imani ya watu kwa CCM na mwenyekiti wao imepotea na kudondoka kwa kiwango kikubwa sana siku ya jana.

Sasa CCM kwa hulka yao Barbaric chuki yao ni kwa Odemba na lolote waweza mfanyia ikiwemo kumpoteza kama kina Azory au Soka na hilo lilipita kwenye mawazo ya Odemba na kujikuta na maumivu moyoni.

Odemba pole, hata wakikufanyia hayo lakini nao hawataishi milele!
 
Mtoa hoja rekebisha andika Nchimbi Kachimba.

Sasa si angenda na Msigwa wakasaidiiane kujibu hoja.
 
Hivi kwa akili za kawaida tu za kuvukia barabara mlijua Nchimbi angeenda? 😂😂😂
Vegetables na midahalo ni mbingu na ardhi
 
Kinachoonekana ni kwamba alithibitisha kushiriki, so kutotokea bila taarifa ni unprofessional kabisa kwa mtu kama yeye. Kikweli wenzetu wamejawa nandharau sana.
Tafsiri ya haraka, Ok, hata nisipokwenda watanifanya nini?
Lini CCM wakawa professional, hata nchi yetu wanatawala nchi ki ujanja ujanja.
 
Waandishi wa habari wanaoandaa midahalo ya kisiasa nchini Tanzania wanahitaji kuwa na sifa maalum ili kuhakikisha midahalo hiyo inaendeshwa kwa ufanisi, uwazi, na kwa haki. Hizi ni baadhi ya sifa muhimu:

1. Uzoefu na Uelewa wa Masuala ya Siasa:
- Waandishi wa habari wanapaswa kuwa na uelewa mzuri wa masuala ya siasa za ndani na za kimataifa, sera, na historia ya kisiasa ya Tanzania.

2. Uadilifu na Uzalendo:
- Waandishi wanapaswa kuwa waadilifu na kuepuka upendeleo wa kisiasa. Uzalendo ni muhimu ili kuhakikisha midahalo inalenga maslahi ya kitaifa.

3. Uwezo wa Kuchambua na Kutathmini:
- Waandishi wanahitaji kuwa na uwezo wa kuchambua hoja na kutathmini masuala kwa undani, ili kuwawezesha kudhibiti mjadala kwa njia yenye tija.

4. Uwezo wa Kuuliza Maswali Muhimu:
- Waandishi wanapaswa kuwa na uwezo wa kuandaa na kuuliza maswali yanayochochea mjadala wa kina, yenye lengo la kutoa taarifa sahihi kwa umma.

5. Uvumilivu na Udhibiti wa Hisia:
- Waandishi wanapaswa kuwa na uwezo wa kuvumilia na kudhibiti hisia zao wakati wa majadiliano, hasa wakati wa mijadala mikali.

6. Uelewa wa Sheria na Maadili ya Uandishi wa Habari:
- Waandishi wanapaswa kufahamu na kuheshimu sheria na maadili ya uandishi wa habari, ili kuhakikisha midahalo inafanyika kwa uwazi na kwa kuheshimu haki za wahusika.

7. Uwezo wa Kuwahusisha Watazamaji na Kusimamia Mjadala:
- Waandishi wanapaswa kuwa na uwezo wa kuwahusisha watazamaji kwa kuuliza maswali au kutoa fursa ya ushiriki wa umma, huku wakidhibiti mjadala kwa njia ya haki na yenye nidhamu.

8. Ujuzi wa Mawasiliano na Kuwezesha Majadiliano:
- Wanapaswa kuwa na ujuzi bora wa mawasiliano, ikiwa ni pamoja na uwezo wa kusimamia na kuendesha majadiliano kwa njia ya kueleweka na yenye mtiririko mzuri.

9. Kujua Misingi ya Demokrasia na Haki za Kiraia:
- Waandishi wanahitaji kuwa na uelewa wa misingi ya demokrasia, uhuru wa kujieleza, na haki za kiraia, ili kuhakikisha midahalo inakuza uelewa wa masuala haya miongoni mwa umma.

10. Uwezo wa Kufanya Utafiti wa Kina:
- Waandishi wanapaswa kuwa na uwezo wa kufanya utafiti wa kina kuhusu mada zinazojadiliwa ili kujiandaa vyema kwa mjadala na kuhakikisha wanatoa taarifa sahihi.

Waandishi wa habari wenye sifa hizi wataweza kuandaa na kuendesha midahalo ya kisiasa inayosaidia wananchi kupata uelewa wa masuala muhimu na kufanya maamuzi sahihi katika mchakato wa kidemokrasia.
 
Muandaaji wa mdahalo ulioshindikana jana usiku ukihusisha Makatibu wakuu wa vyama vya siasa Chief Odemba wa STARTV Chief Odemba aliangua kilio cha uchungu hadharani baada ya jambo hilo kushindwa kufanyika kwa sababu ya Katibu Mkuu wa CCM kuingia mitini na kushindwa hata kumtuma senior officer yeyote kumuwakilisha wakati alishathibitisha kushiriki.

Kitendo cha kutoa machozi hadharani Odemba kimewashtua wengi na kujiuliza sababu hasa ni nini?

Watafiti wamebaini kuwa jana KM wa CCM Nchimbi amefedheheka, CCM imepata aibu kubwa kwamba haiwezi siasa za hoja na imani ya watu kwa CCM na mwenyekiti wao imepotea na kudondoka kwa kiwango kikubwa sana siku ya jana.

Sasa CCM kwa hulka yao Barbaric chuki yao ni kwa Odemba na lolote waweza mfanyia ikiwemo kumpoteza kama kina Azory au Soka na hilo lilipita kwenye mawazo ya Odemba na kujikuta na maumivu moyoni.

Odemba pole, hata wakikufanyia hayo lakini nao hawataishi milele!
Kwani ma KM wa vyama vingine hawawezi kufanya mdahalo bila Dr Nchimbi wa CCM?
Kila mmoja amealikwa kwa mwaliko wake, siyo on condition kuwa KM CCM atakuwapo.

Na kama UPINZANI wangekuwa objective basi hapo ndipo wangemwaga makopa yao kwa nguvu maana wa kujibu hayupo
 
Kwani Dkt Nchimbi alithibitisha kushiriki?

CCM wapo katika mkutano wa Kamati Kuu Maalum, na wana Maandalizi ya Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa.
Hakuna mdahalo wa Nchimbi kukimbia hapo.
Umeona sasa majibu ya CCM...
 
relax gentleman, mihemko haibadili Ukweli kwamba katibu mkuu hana na kamwe hawezi kua na muda wala wasaa wa kufanya majadiliano au mdahalo na hao watoto vijana wasio na mbele wala nyuma...

kwanza ni vizuri ukatambua katibu mkuu wa CCM ni daktari, na kwahivyo yafaa ajadiliane na madaktari wenzake, kujadiliana na hao vijana ni kuwaonea na actually ni unyanyasaji kwa vijana pia...

kubwa zaidi, hao vijana wa kusukumwa sukumwa hawana kazi na majukumu ya maana kwenye vyama vyao ndio maana hata wana muda wa kupoteza kwenye mambo yasiyo na tija...

Ratiba, majukumu mazito na kazi za katibu mkuu wa CCM, haziwezi kumpatia hata dk20 nje ya ofisi. Majukumu mazito ya maana ya kitaifa na kimataifa yamemzonga sana,

na hayo yote ni kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
Mkuu mbona unahemka au unakula ndumu?
 
Back
Top Bottom