Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
mwaka huu mkuu anaweza kushiriki kwa sababu anajiamini sana na kwa kweli wananchi wengi wanamuamini kwa aliyoyafanya.
na kwa ukweli sioni sababu ya kuogopa kwa maana wapinzani tayari wameshafulia
na kwa ukweli sioni sababu ya kuogopa kwa maana wapinzani tayari wameshafulia