Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi,

Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025.

====
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.

=====



Merry Xmas and Happy New year 2025.
 
Wakimaliza mdahalo CDM, tunataka pia mdahalo wa wagombea wa CCM.

Tukimaliza mdahalo wa CCM tunataka mdahalo wa wagombea Urais live.
Hakuna sheria hiyo, buana. Kama hupendi, basi jukumu lako kama raia mwema ni kwenda kumwajibisha utakavyo kwenye sanduku la kura.

^Mimi CDM nipo, nitaendelea kuwepo, na yeyote anayetaka kugombea, basi tukutane kwa boksi!^
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…