Voltaire
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,231
- 1,189
kwani kama anashambuliwa kwa tuhuma au mambo ya kweli hauoni ni afya kwa ustawi wa siasa zetu na taifa?Mbowe atakuwa ni mpuuzi kushiriki mdahalo ambao atakuwa anashambuliwa Mwanzo mwisho
Tunataka mijadala ya namna hii zaidi na zaidi,sio mambo za mitano tena!
Njoo ueleze umefanya nini na utafanya nini, period!