Mdau anauliza ni kwa nini offer za usajili ni kwa wachezaji wa Yanga tu? Simba kunani? Mbona hakuna hata mchezaji wa Simba anayetakiwa nje?

Mdau anauliza ni kwa nini offer za usajili ni kwa wachezaji wa Yanga tu? Simba kunani? Mbona hakuna hata mchezaji wa Simba anayetakiwa nje?

Mwandishi ana hamu ya kuwananga Simba tu labda kwa sababu ya kuendeleza makelele ya kila siku ya Simba vs Yanga...

Yanga wamekuwa wakiuza wachezaji au hata wale wanaomaliza muda wamekuwa wakikimbilia nchi nyingine...

Ingelikuwa na faida kwa Yanga na taifa kama hao wachezaji wanaotafutwa kwa udi na uvumba nje ya nchi wawe wabongo...
Wabongo wenyewe hawa kina Fei Toto? akili hawana.

Fei Toto angefika na Yanga mpaka fainali siamini kama angekwenda Azzam kwa umri wake ni bidhaa bora kabisa kwenye timu za ushindani, soko lake lingekuwa juu sana.

Halafu hao wachezaji wa Bongo ukiuliza wakala wake utaambiwa ni Bin Kazumari hapo unategemea future gani.
 
Hao waliotoa offer kama ni kweli basi itakuwa walikua hawajitambui.
Timu ya nje imtake mcheji kwa sababu ya kushinda goli bora tena kwa kupigiwa kura na washabiki wa hiyo timu anayotoka mchezaji?
Rage ajengewe sanamu lake haraka sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 2
MDAU - KILA KITU YANGA, WENGINE HAMUWAONI...!

✍️ Kaandika mdau wa soka, Ole Mushi !

"KWA NINI WACHEZAJI WA SIMBA HAWAULIZIWI NA TIMU KUBWA ZA NJE?"

"Sijasikia mchezaji hata mmoja wa Simba SC kutakiwa kununuliwa na timu za nje. Karibia wachezaji wote wa Yanga SC timu za nje zimetuma maombi ya kuwataka. Haya nayo ni mafanikio." - Thadei Ole Mushi

"Waandishi wote wa Habari nchini wamegeukia kuangalia transfer za Yanga SC na ndio CONTENT pekee inayouzika kwa sasa kwenye michezo nchini. Hii ndio tafsiri ya Club kubwa nchini….."

"Mashabiki wote wa Simba wana akili ya Kuku kukimbilia kwa jirani wakati anafukuzwa na mfugaji wake lakini jioni hurejea kwa mfugaji amfungulie banda alale. Nasema hivi kwa sababu mashabiki hawa wanafurahia wachezaji wa Yanga kutaka kusajiliwa nje ya nchi"

"Niwakumbushe tu kuwa hata walipowasajili hao wachezaji (2021) Simba walisema Yanga inataka kufungua Bendi ya kikongo. Na kweli Bendi hii ya kikongo imetutetemesha kuanzia Msimbazi hadi Jangwani Mwanza hadi Mtwara hakuna mtu ambaye hajui kutetema wazee vijana na watoto"

"(Simba) Wanarudia kosa lile lile, wanahangaika na ya Yanga wanasahau na wao wana jukumu la kuziba pengo la Bocco aliyezeeka, pengo la Kibu, Pengo la Onyango, nk. Yaani Pale Simba ni Inonga tu mwenye sifa ya kuvaa ile Jersey ya Mo"

© Thadei Ole Mushi
Wenye akili Yanga nzimani wawili mwandika post na mdau wako hamumo.

Tangu lini Wachaga wakajua football??
 
Jana nilikushauri tafuta mchezo wa kushabikia kwenye mpira huwezi.

Hizi lugha zako Mimi ni master, ukitaka twende huko nakukaribisha rasmi nikufunze adabu.
Wewe juha unifundishe nini nakuona fala tu unayejitutumua,bwege wewe.
 
Miqsoon alienda al ahly ni sawa na Real Madrid ya ulaya
Chama kaenda Morocco
Kishingo Unajua mwenyewe
Uchebe unajua mwenyewe
Didier kocha Madagascar

Huyo NABI kwenda kaizer ndyo habari
Angekuwa kishingo je aliyeipeleka wydad fainal si mngefanya Parade

USM ALGEE BINGWA
Hio ni historia Hata yanga atakuwa na yake.
Miqueson alicheza Mechi ngapi Al ahly na vipi performance yake akiwa huko na sasahivi yupo wapi ?
Chama alienda na kisinda berkane akashindwa ku perfom kisinda aka perform Hata Mechi ya fainali waliyochukua kombe alicheza Chama hakucheza
Kishingo ni mafanikio ya pamoja na mtangulizi wake aliyemtengenezea timu Mpaka semi yeye akaendeleza Mpaka final na kupoteza
 
Wabongo wenyewe hawa kina Fei Toto? akili hawana.

Fei Toto angefika na Yanga mpaka fainali siamini kama angekwenda Azzam kwa umri wake ni bidhaa bora kabisa kwenye timu za ushindani, soko lake lingekuwa juu sana.

Halafu hao wachezaji wa Bongo ukiuliza wakala wake utaambiwa ni Bin Kazumari hapo unategemea future gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kufika final huku unakula ugali na sukari, wee kuwezaa??
 
Wachezaji wenyewe ndio wanapeleka barua za kutaka kuondoka, nadhani kuna kitu hakiko sawa huko utopoloni.

Lakini pia, huenda wachezaji wameamua kutafuta team kubwa zinazoendana na profile yao, kwa kawaida ni ngumu sana team ndogo kukaa na wachezaji wakubwa maana hii ni dunia ya samaki kula dagaa.

Hata huko ulaya zipo club ambazo hazina uwezo wa kukaa na wachezaji wakubwa, kiasi kwamba kila wachezaji wakipata umaarufu hunyang'anywa na vilabu vikubwa, mfano Ajax, Leipzig, Borussia..nk.
Wale wacongo walikua wanatafuta pakutokea ,ndio maana hata mikataba walikua wajanja ,walisimama ktk mshahara wakafanya kazi ,wameonekana ,sasa safari imefika
 
Timu ya simba na mashabiki wake sijui wamerogwa na nani! Maana wanatumia muda mwingi kufuatilia masuala yaihusuyo timu ya Yanga kwa ujumla wake, kuliko yale masuala ya msingi yaihusuyo timu yao.
Masuala kama yapi mkuu 🤔
 
Kila jambo na wakati wake, leo kwangu kesho kwako.
 
Back
Top Bottom