Mdau anauliza ni kwa nini offer za usajili ni kwa wachezaji wa Yanga tu? Simba kunani? Mbona hakuna hata mchezaji wa Simba anayetakiwa nje?

Wabongo wenyewe hawa kina Fei Toto? akili hawana.

Fei Toto angefika na Yanga mpaka fainali siamini kama angekwenda Azzam kwa umri wake ni bidhaa bora kabisa kwenye timu za ushindani, soko lake lingekuwa juu sana.

Halafu hao wachezaji wa Bongo ukiuliza wakala wake utaambiwa ni Bin Kazumari hapo unategemea future gani.
 
Hao waliotoa offer kama ni kweli basi itakuwa walikua hawajitambui.
Timu ya nje imtake mcheji kwa sababu ya kushinda goli bora tena kwa kupigiwa kura na washabiki wa hiyo timu anayotoka mchezaji?
Rage ajengewe sanamu lake haraka sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 2
Wenye akili Yanga nzimani wawili mwandika post na mdau wako hamumo.

Tangu lini Wachaga wakajua football??
 
Jana nilikushauri tafuta mchezo wa kushabikia kwenye mpira huwezi.

Hizi lugha zako Mimi ni master, ukitaka twende huko nakukaribisha rasmi nikufunze adabu.
Wewe juha unifundishe nini nakuona fala tu unayejitutumua,bwege wewe.
 
Hio ni historia Hata yanga atakuwa na yake.
Miqueson alicheza Mechi ngapi Al ahly na vipi performance yake akiwa huko na sasahivi yupo wapi ?
Chama alienda na kisinda berkane akashindwa ku perfom kisinda aka perform Hata Mechi ya fainali waliyochukua kombe alicheza Chama hakucheza
Kishingo ni mafanikio ya pamoja na mtangulizi wake aliyemtengenezea timu Mpaka semi yeye akaendeleza Mpaka final na kupoteza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kufika final huku unakula ugali na sukari, wee kuwezaa??
 
Wale wacongo walikua wanatafuta pakutokea ,ndio maana hata mikataba walikua wajanja ,walisimama ktk mshahara wakafanya kazi ,wameonekana ,sasa safari imefika
 
Timu ya simba na mashabiki wake sijui wamerogwa na nani! Maana wanatumia muda mwingi kufuatilia masuala yaihusuyo timu ya Yanga kwa ujumla wake, kuliko yale masuala ya msingi yaihusuyo timu yao.
Masuala kama yapi mkuu 🤔
 
Kila jambo na wakati wake, leo kwangu kesho kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…