Mdau: Baada ya baba kupotea, rafiki yake ametuma watu wenye silaha kuvamia nyumba yetu akitaka tuhame

Watoke ardhi yangu haraka
 
Watu huwa mmasumbuka buree wakati mnaweza tatua shida zenu. Nendeni kwa waganga konki hapo malawi mtamjua mbaya wenu ni yupi na mzee yupo wapi. Mnaweza chukua hatua kali za kumlarua mbaya wenu either yeye binafsi au na wanae/mkewe maana mchuma janga hula na wakwao. Amkeni nendeni malawi au nendeni kongo hapo biashara mtamaliza jua la saa nne, mkirudi watu hawapo hai tena. Zaidi ya hapo mtageuka makaini mchini.
 


Mikopo hiyo. Hakuna watu wanakuja na Silaha. Mchana mda wote huo wawe wahalifu.

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
(DAR ES SALAAM DISTRICT REGISTRY)
AT DAR ES SALAAM
MISCELLANEOUS CIVIL APPLICATION NO. 479 OF 2022
(Originating from the High Court of Tanzania, Dar es Salaam
District Registry in Civil Case No 167 of2016)
CRDB BANK PLC............................................................................ APPLICANT
VERSUS
TIMOTH DANIEL KILUMILE CO. LTD.....................................1st RESPONDENT
DAWSON BUBERWA ISHENGOMA........................................2nd RESPONDENT

Baba yako hayupo hapo? Inawezekana baada ya Baba yako kupotea, jamaa akalipa deni lote, na labda hiyo Nyumba ndo ilikuwa bond, ninaamini ana haki of some sort
 
Okay, ndio maana Mimi niliwauliza maswali mengi kwenye post yangu ya awali hapo juu na mleta uzi hakujitokeza kuja kuyajibu kwa sababu anajua kilichopo nyuma ya pazia. Njia ya muongo ni fupi.
Yeye alidhani hapa Jf kuna watu wajinga tupu kama alivyo yeye kiasi kwamba anaweza kuwadanga kiurahisi.
 
Kama alilipa kwanini hakuishirikisha Familia waone wanalilupaje? Huyo ni tapeli tu
 
tatizo la siku hizi ma baba wengi wakiwa wazi na mali zao wanaona wanajipeleka makaburini kabla ya kuwapa urithi.
sio tu kupotea kuna mzee arifakiri kamuachia mtu kuendesha na kusimamia miradi huku familia ifahamu lolote.
jamaa kajimilikisha na buyu kali sababu kila document na kinachoendelea anajua kilipo.
 
Hiyo biashara ndiyo chanzo cha haya. Soon wanakuja wabobezi wa kazi zao watatuambia pale mexco biashara inaendaje
 
mkuuu una elekea level ya mfunyukuzi aisee uko juuuu
 
Huyo Kilumula anajua alipomzika baba yenu, kazi kwenu, mnatakiwa kumkamata huyo mtoe maelezo polisi ahojiwe kwa kina juu ya kupotea baba yenu nae akiwa kama rafiki yake wa karibu, lazima atakuwa anajua kitu, haiwezekani awe na tamaa na mali ya marehemu bila sababu, naamini hiyo tamaa yake ndio iliyochangia kumpoteza baba yenu.

Akamatwe na kuhojiwa.
 
Huyo mdhulumaji ndio kampoteza baba yenu, kesi ianzie hapo
"No research no right to speak".
By Mao, a former Chairman and the founder of CPC, China.


Not only that, but also, "He who alleges must prove".

Kwa muktadha huo, mleta hoja hajathibitisha madai yake, kwa sababu madai au hoja yake inaibua na inaacha maswali mengi zaidi bila majibu.
Kwa mantiki hiyo, kwa sasa ni vigumu sana kumtuhumu kwa utapeli huyo mtu wanayemtaja kuwa ni Kilumile. Mleta hoja kwanza anapaswa kuthibitisha madai yake kwanza kabla ya kumgeukia huyo Kilumile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…