Huyo jamaa ni mfano hai wa mada yake mwenyewe. Watu ambao ni wachache sana one might say.
Sitoongelea kuhusu waarabu sababu siwajui na wala hatufanani kivyovyote, na nina uhakika huyo genius anaongelea waarabu sababu yuko biased kidini. Bila shaka ni Christian. Religious indoctrination is a dangerous thing.
Naona anaongelea wazungu akimaanisha Europeans, kama the Paragon of civilization. Labda sababu ya mafanikio yao, kitu kinachodhihirisha upumbavu wake anaousema. Sababu kama angekuwa na akili chache hata za kuvukia barabara basi angegundua Europeans ndio walioleta ukoloni Barani Afrika, waligeuza mababu wa kiafrika watumwa, wakawatumikisha kama wanyama bila chembe ya huruma, kuwatesa, na kuwaua. Hivyo Europeans sio wapumbavu tu wasiopenda amani, bali ni washenzi na makatili. Na hawakufanya ushenzi Afrika tu, bali dunia nzima. Ikiwemo kwenda kuchukua ardhi za watu kinguvu na kuwaua wenyewe, au anadhani Marekani ni ardhi ya wazungu ile? Vita vya dunia walikuwa wanapigna kina nani kama sio Wazungu? Au Hitler alizaliwa kimbiji na alikuwa mweusi?
Wazungu ni matajiri sababu ya ukatili walioufanya, hivyo utajiri sio morality na Umasikini sio upumbavu, sababu ulikuwa moral enough kutofanya ukatili kwa wengine ili ufanikiwe wewe.
Huu ni ujinga uliopitiliza viwango.