Mwandishi ndio ako na ujinga ujinga! Yaani unawezaje kuweka mzungu ndio kipimo cha ustaarabu? Watu wanat*mbana wanaume kwa wanaume,wanawake kwa wanawake wanasagana?,wanafunga ndoa na wanyama?
Hata waafrika wana sex wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake na kusagana.
Hii ipo kwa jamii za watu wote.
kwa taarifa hii dunia yaweza kuwa mahala penye amani na starehe kama wazungu wote wataondoka!
Wazungu waliondoka kule Afghanistan.
Kilicho tokea pale Airport, nadhani hata wewe ulishuhudia Raia wakidandia ndege ile jeshi.
Maelfu ya wanafunzi wa kiafrika wana apply vyuo na scholarships kila siku kwenye nchi za wazungu kutaka kwenda kwa wazungu.
Wahamiaji kila mara wanakufa maji mediterranean sea wakitaka kuingia Ulaya kwa wazungu.
Unadhani kwa nini?
Mwafrika mwenyewe anapakimbia nyumbani kwake kutaka kwenda kwa wazungu.
Je mwenye shida na matatizo ni nani kati ya hawa, mwafrika au mzungu?
Sasa hivi nenda ka book appointment ya viza kwenye ubalozi wowote ule wa nchi za ulaya, Amerika au ulaya uone hiyo waiting lists..
Nenda pale US embassy uone mziki ulivyo, Nenda German embassy uone hizo waiting lists.
Kisha uje hapa uone nani, Ana matatizo kati ya mzungu au mwafrika.
Mzungu akitaka viza yeyote, yeye anaipatia hapo Airport JNIA.
Wewe sasa utaitishwa hadi barua ya Afisa mtendaji wa kijijini kwenu huko Madongo kuinama.
And kwa taarifa yako the whites are not the original race of this world! Ni watu wabaya sana kutoka kutokea! Ni watu ambao hawaridhiki ,wanatamani hii dunia waishi wao tu,wanatuletea magonjwa mara ukimwi ,mara covid tu kwa tamaa zao!
Wakongo wanakula nyani halafu wakipata Ebola, Homa ya nyani n.k wanaanza kusema wazungu ndio wameleta.
Kweli waafrika kichwa cha wendawazimu...😂