MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
Ni kweli kabisaaa lakini kwanini iwe rahisi kugombanishwa?
 
Fikiria kupanda daladala tuu ni issue sometimes, badala ya kupanga foleni na kuingia kwa zamu, wanapigana na wengine kuingilia madirishani, au serikali inaiba kura za uchaguzi, mtu mweusi ni matatizo matupu
 
Naomba uniambie ni kitu gani mwafrika ameweza kufanya mwenyewe kikaleta mabadiliko makubwa duniani pasipo kuhitaji msaada wowote ule wa kifedha au kiutaalamu kutoka kwa wazungu.

Angalau kwenye nyanja za kiuchumi, kisiasa, kielimu, kiafya na kwenye sayansi na teknolojia.

Bila kuhusisha msaada wa aina yeyote ile wa utaalamu au fedha za wazungu.
Kuna mambo mengi sana yaliyopeleka Europeans kuwa advanced kuliko Waafrika. Lakini sababu kuu ni mazingira tofauti yenye changamoto tofauti yanayohitaji solutions na utumiaji wa akili tofauti. Hivyo njia pekee ya Waafrika kufikia level za Europeans in technological advancements na nyanja nyingine zilizochukua maelfu ya miaka, ni kujifunza kutoka kwao. Kitu kilichofanywa na kinachofanywa na advanced Asian countries leo hii.

Check profile ya threads zangu alafu soma huo uzi unaosema why Europeans ni way advanced.
 
Elimu ,Elimu..msiende mbali hapahapa Tz..mkoloni kaondoka katuachia TANU/CCM..wao wamekuwa wakoloni namba mbili..
KUONEANA, KUUMIZANA, KUPOTEZANA, UROHO WA MADARAKA, UMASKINI, WIZI NA TAMAA ZA MALI KUPITILIZA, KUTOKUWEPO NA UZALENDO...
Hawa ni weusi wenzetu..
 
Hakuna haja ya kubeza wengine na kuitana wapumbavu, Kwa Mungu sote ni sawa, yeye ni Mungu wa wote, hachagui dini wala kabila.
 
tembea babu
waarabu washenzi na hawapendi kusoma shauri ya serikali kuwawekea ustawi mzuri wa maisha. halafu wao zaidi ni biashara. sisi ni mavi tupu kila kitu. huko kusoma kumetusaidia nini? sisi tofauti ya aliyesoma na asiesoma ni kwamba mmoja ana nafasi kula keki ya taifa kuliko mwenzake.
Hakuna mijitu mijinga kama miarabu
 
Machief wa kiafrika walitoa mchango mkubwa sana kufanikisha biashara ya utumwa na ukoloni.

Mzungu hakufanikiwa hivi hivi tu. Bila ushirikiano na waafrika wasaliti na Machief wajinga walio uza wenzao.
Imagine wanaume watu wazima na kende zao wanambeba mzungu kutoka Kigoma mpaka Kilimanjaro kwenye mashamba ya katani, kisa Mzungu ana kabastola au gobole kiunoni...na hapo aliyefanikisha ni Chief wao

Watu ambao kwao kuna utajiri wa Chuma na mbao kila mahala kama Meroe, Axum, Ugweno na sehemu zingine nyingi kwa karne kibao wameshindwa hata kutengeneza bunduki ya kumuua Mkoloni, so kwa miaka 200 wabantu wengi wakiwa kwenye ardhi yao wananyanyaswa na Mzungu kisa gobole

STUPID BANTUS
 
Record za Wazungu zinazokidhi vigezo vyako.

Vita vya dunia.
Ukoloni.
Utumwa.
Kuchukua maeneo ya watu.

Why am I even answering you.
Zamani vita, utumwa na ukoloni zilikuwepo kwenye jamii nyingi karibu zote hapa duniani na yule ambaye ni mnyonge ndio alikuwa wakuonewa.

Hata USA alipitia ukoloni, ila leo hii ndio super power.

Ukoloni ni Excuse ya waafrika wazembe na wavivu.

Ambao hadi leo mna karibu miaka 63 ya kujiongoza na kujitawala wenyewe, ila hakuna kilichofanyika kwa ufasaha zaidi ya maraisi wa kiafrika kulia lia njaa na kutembeza bakuli kuomba misaada na mikopo kutoka kwa wazungu.

Hapa Afrika tu jamii nyingi sana zilikuwa zinapigana, zinauana na kunyang'anyana ardhi.

Kwanza leo hii hapa Afrika ukoloni bado unaendelezwa, Mfano wale wa Masai wa Ngorongoro wamefukuzwa kijanja kwenye ardhi yao.

Watu wengi tu hapa Afrika wanamiliki ardhi kinyamera bila hata kufuata utaratibu na sheria.

Ndio maana kesi za mashamba, viwanja ni endless kwa Afrika.
 
Nani mwenye makosa? Aliyeanzisha biashara ya ukoloni na utumwa au chief aliyelazimwisha ku-cooporate au wangempiga risasi sababu hawezi kujitetea?
Mjinga ni yule aliyeingizwa kwenye mfumo naye akaingia mkenge na kuanza kumtumikia Bwana wake na kuwasaliti ndugu zake

Wazungu walikuwa smart since, Majinga ni Mabantu
 
Black? What black? Black coffee, black table, black bottle, black color? Are you American?

You're not Black. You're an African, East African, Tanzanian, your tribe, your name, and so on. Acha kujishusha na kujiita Black. It's dehumanizing.
Proud of your race Kijana, tofautisha Nationality na race

You are Black, There are Blacks, Asians, Indians, Latins, Caucasians, Whites, Arabs etc

Blacks wapo lakini ndio Wajinga
 
Zamani vita, utumwa na ukoloni zilikuwepo kwenye jamii nyingi karibu zote hapa duniani na yule ambaye ni mnyonge ndio alikuwa wakuonewa.

Hata USA alipitia ukoloni, ila leo hii ndio super power.

Ukoloni ni Excuse ya waafrika wazembe na wavivu.

Ambao hadi leo mna karibu miaka 63 ya kujiongoza na kujitawala wenyewe, ila hakuna kilichofanyika kwa ufasaha zaidi ya maraisi wa kiafrika kulia lia njaa na kutembeza bakuli kuomba misaada na mikopo kutoka kwa wazungu.

Hapa Afrika tu jamii nyingi sana zilikuwa zinapigana, zinauana na kunyang'anyana ardhi.

Kwanza leo hii hapa Afrika ukoloni bado unaendelezwa, Mfano wale wa Masai wa Ngorongoro wamefukuzwa kijanja kwenye ardhi yao.

Watu wengi tu hapa Afrika wanamiliki ardhi kinyamera bila hata kufuata utaratibu na sheria.

Ndio maana kesi za mashamba, viwanja ni endless kwa Afrika.
Muda hauondoi ubaya wa kitu. Na unamaanisha nini unaposema USA ilipitia ukoloni?
 
Wewe una wazungumzia hao waarabu wachache wa mijini hapo Qatar, UAE, Saudia na Oman unao waona kwenye media wana maisha safi.

Kuna wale waarabu choka mbaya wa vijijini huko na nchi zingine za kimaskini ni wengi sana.
Hakuna jamii isiyo kuwa na watu choka mbaya hapa duniani lakini tunacho angalia ni uwiano.

Hata hao wazungu unao wasifia kuwa wana maisha mazuri ni wazungu kutoka baadhi ya mataifa machache lakini mataifa mengine mengi ya kizungu hasa ya Ulaya mashariki na America ya kusini ni choka mbaya.

Kwanza tusiende mbali tuanzie ndani ya nchi yako ambayo asilimia 99.9 ni watu weusi lakini %85ya uchumi wa Tz inamilikiwa na waarabu na wahindi ambao ni sawa na 01% ya watz bado utaendelea kujilinganisha nao.

Ebu nenda Morocco hapo alafu tembelea majiji kama Malaccesh, Rabat, Casablanca alafu urudi hapa Tz ulinganishe na hizi takataka zetu tunazo ziita majiji.
Mtu anaye weza kuwalinganisha waarabu na waafrica edha ni chuki dhidi ya waarabu au ni hajawahi kutembea.
 
Hakuna haja ya kubeza wengine na kuitana wapumbavu, Kwa Mungu sote ni sawa, yeye ni Mungu wa wote, hachagui dini wala kabila.
Kwanza huyo Mungu hayupo.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe na kujitetea mwenyewe, Kama ana huo uwezo.
 
Proud of your race Kijana, tofautisha Nationality na race

You are Black, There are Blacks, Asians, Indians, Latins, Caucasians, Whites, Arabs etc

Blacks wapo lakini ndio Wajinga
What the hell are you talking about?

Nationality? Nani amekwambia U-Afrika ni Nationality? Afrika ni bara na wanaokaa kwenye hilo bara wanaitwa Africans. Kama ilivyo Asia na Asians.

Black sio race, ni rangi. Rangi ya wamarekani. Sababu Marekani kuna jamii mbili tofauti, moja yao haina kwao wala itambulisho rasmi, hivyo njia bora ya wao kujitofautisha ni kujiita Black na White people.

Wewe una utambulisho wako, una bara lako, Nchi yako, kabila lako na jina lako. Usijifananishe na Black Americans wasio na kwao. Kama rangi ya mtu ndio ingekuwa sole factor ya ku-determine race ya mtu, basi ukiongelea Blacks utakuwa unaongelea na wahindi ambao ni Asians wenye rangi nyeusi kuliko Waafrika. Au wewe unadhani kwanini Asians hawajiiti yellow people? Hilo ni tusi kwao. Kumuita mtu kwa rangi yake ni dehumanizing sababu unautia ubinadamu wake wote kwenye shade ndogo ya rangi.

Hivyo wewe sio Black, wewe ni Muafrika. Na mimi sio Black, ni Muafrika mwenye rangi ya pale brown, sio black.
 
Wazungu wakipigana vita.... Geniuses.
Mwarabu......Udini.
Mweusi.... Hana akili.
Walio wengi ushamba wa kimagharibi kwao wanaona ni ujanja.
 
Mjinga ni yule aliyeingizwa kwenye mfumo naye akaingia mkenge na kuanza kumtumikia Bwana wake na kuwasaliti ndugu zake

Wazungu walikuwa smart since, Majinga ni Mabantu
Sijakuuliza nani mjinga, kama ni ujinga basi wote ni wajinga. Sababu kumgeuza binadamu mwingine mtumwa sio kitendo cha akili, bali ni kitendo cha kikatili kilichosababishwa na ujinga.

Hapo nimekuuliza nani mwenye makosa. Nani mwenye makosa hapo?
 
Back
Top Bottom