MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

Wazungu wakipigana vita.... Geniuses.
Mwarabu......Udini.
Mweusi.... Hana akili.
Walio wengi ushamba wa kimagharibi kwao wanaona ni ujanja.
Mzungu anapigana vita kwa maslahi yake mwenyewe na nchi yake na kizazi chake.

Waarabu wanapigana vita za Udini kutetea kiumbe cha kufikirika kiitwacho Allah kienee duniani

Waafrika wao wanapigana vita changanyikeni za udini humohumo, za uchumi humohumo, za uasi na usaliti humohumo. Yani ni mpera mpera vululu-valala. Bila hata kujua wanacho kipigania ni kipi hasa...😄
 
Ngoja nikuache ubaki na Upumbavu wako, hiyo color unayosema ndiyo inayotengeneza Race
Seriously? How the fu**k hicho ki-description kitashikilia maana nzima ya Race? Unadhindwa kutumia akili yako, reasoning, logic na critical thinking kudecipher na kudeduce mambo unaniletea kiscreen shot chenye maneno machache yasiyo na maana yoyote? What is that? Google Or Gemini? Ina maana ulikuwa unapinga bila kujua unachokiongelea, baada ya kuwa challenged ukakimbila Google? Hauwezi kufikiria kwa ajili yako mwenyewe? It make sense unatetea ushenzi wa wazungu na kujiita Black.

Kutokana na hicho kiscreenShot chako. Ina maana na wahindi nao ni Blacks? Au sio genius?


View: https://m.youtube.com/watch?v=7FEwQEptsd8

Seaech hiyo link au play hiyo video uone Blacks wenzako wanavyokuona.
 
Wewe una Ujinga, kabla ya kukimbilia huko nataka kwanza uelewa nini maana ya Race au Racial group

Makosa kulingana na Perception ipi? Kitu ambacho kwako ni makosa kwangu yanaweza yasiwe makosa, kuoa wake wengi kwako kunaweza kuwa makosa ila kwangu ikawa sawa

Elewa kwanza haya [emoji116]
Unashindwa kutofautisha Black Americans na Africans unata kuongelea heavy philosophical questions kama Moral judgments?

Wewe unadhani nani mwenye makosa kati ya mkoloni na mtumwa based on basic human perception of morality?

Stop with the cheap Google screens shots, they show your stupidity. Jibu hilo swali.
 
Ukiwa mweusi alafu mwarabu unakuwa kama umetupiwa majini
 
Machief wa kiafrika walitoa mchango mkubwa sana kufanikisha biashara ya utumwa na ukoloni.

Mzungu hakufanikiwa hivi hivi tu. Bila ushirikiano na waafrika wasaliti na Machief wajinga walio uza wenzao.
To cut the story tungekuwa tuna akili timamu tungeenda kuwatawala wao huko ulaya.
Dominant hutawala dhaifu.
Africa tunatia huruma pale SOUTH AFRICA wenye asili ya kizungu wapo busy kujenga uchumi ila meusi yapo busy kuuuza madawa ya kulevya na kufanya unyang'anyi wa kutumia silaha
 
Record za Wazungu zinazokidhi vigezo vyako.

Vita vya dunia.
Ukoloni.
Utumwa.
Kuchukua maeneo ya watu.

Why am I even answering you.
Sifa za mtu asie na akili
1.Mvivu
2.Mlalamishi
3.Mpenda Bata bia na umalaya
4.Hapendi kujiongeza kimaarifa i mean hafanyi tafiti yoyote yeye anataka ready made
 
Hakuna haja ya kubeza wengine na kuitana wapumbavu, Kwa Mungu sote ni sawa, yeye ni Mungu wa wote, hachagui dini wala kabila.
Hiyo neno MUNGU nao ni upumbavu mwingine ambao umeletewa na wenye akili alafu wao hawana shobo na hiko kiumbe unachokiumba kwenye mafikilio yako
 
W
Huyo jamaa ni mfano hai wa mada yake mwenyewe. Watu ambao ni wachache sana one might say.

Sitoongelea kuhusu waarabu sababu siwajui na wala hatufanani kivyovyote, na nina uhakika huyo genius anaongelea waarabu sababu yuko biased kidini. Bila shaka ni Christian. Religious indoctrination is a dangerous thing.

Naona anaongelea wazungu akimaanisha Europeans, kama the Paragon of civilization. Labda sababu ya mafanikio yao, kitu kinachodhihirisha upumbavu wake anaousema. Sababu kama angekuwa na akili chache hata za kuvukia barabara basi angegundua Europeans ndio walioleta ukoloni Barani Afrika, waligeuza mababu wa kiafrika watumwa, wakawatumikisha kama wanyama bila chembe ya huruma, kuwatesa, na kuwaua. Hivyo Europeans sio wapumbavu tu wasiopenda amani, bali ni washenzi na makatili. Na hawakufanya ushenzi Afrika tu, bali dunia nzima. Ikiwemo kwenda kuchukua ardhi za watu kinguvu na kuwaua wenyewe, au anadhani Marekani ni ardhi ya wazungu ile? Vita vya dunia walikuwa wanapigna kina nani kama sio Wazungu? Au Hitler alizaliwa kimbiji na alikuwa mweusi?

Wazungu ni matajiri sababu ya ukatili walioufanya, hivyo utajiri sio morality na Umasikini sio upumbavu, sababu ulikuwa moral enough kutofanya ukatili kwa wengine ili ufanikiwe wewe.

Huu ni ujinga uliopitiliza viwango.
Aafrika wana inferiority complex aisee!
 
Hiyo neno MUNGU nao ni upumbavu mwingine ambao umeletewa na wenye akili alafu wao hawana shobo na hiko kiumbe unachokiumba kwenye mafikilio yako
Sawa, huo ni mtazamo wako na mafikirio yako.
 
Huyo jamaa ni mfano hai wa mada yake mwenyewe. Watu ambao ni wachache sana one might say.

Sitoongelea kuhusu waarabu sababu siwajui na wala hatufanani kivyovyote, na nina uhakika huyo genius anaongelea waarabu sababu yuko biased kidini. Bila shaka ni Christian. Religious indoctrination is a dangerous thing.

Naona anaongelea wazungu akimaanisha Europeans, kama the Paragon of civilization. Labda sababu ya mafanikio yao, kitu kinachodhihirisha upumbavu wake anaousema. Sababu kama angekuwa na akili chache hata za kuvukia barabara basi angegundua Europeans ndio walioleta ukoloni Barani Afrika, waligeuza mababu wa kiafrika watumwa, wakawatumikisha kama wanyama bila chembe ya huruma, kuwatesa, na kuwaua. Hivyo Europeans sio wapumbavu tu wasiopenda amani, bali ni washenzi na makatili. Na hawakufanya ushenzi Afrika tu, bali dunia nzima. Ikiwemo kwenda kuchukua ardhi za watu kinguvu na kuwaua wenyewe, au anadhani Marekani ni ardhi ya wazungu ile? Vita vya dunia walikuwa wanapigna kina nani kama sio Wazungu? Au Hitler alizaliwa kimbiji na alikuwa mweusi?

Wazungu ni matajiri sababu ya ukatili walioufanya, hivyo utajiri sio morality na Umasikini sio upumbavu, sababu ulikuwa moral enough kutofanya ukatili kwa wengine ili ufanikiwe wewe.

Huu ni ujinga uliopitiliza viwango.
📌🔨🔨
 
Mzungu anapigana vita kwa maslahi yake, hasa kiuchumi

Mwarabu anapigana vita kwa maslahi ya dini yake, ambayo pia inakataza kuua

Mtu mweusi hapigani vita, anapiganishwa vita yeye na ndugu zake (wenyewe kwa wenyewe) kwa sababu ni Wajinga na ni kwa maslahi ya Mzungu

Elewa tofauti
Kuuwa watu ni akili ?
Marekan Democide rate Ni kubwa mno nayo ni akili na ni kwa maslahi ya nani ? Mana hiyo ni Vita ya Serikali kuelekea raia wake.

Kwahiyo Hapo wanapovurugana na Wazayuni waarabu wanapigania dini na sio ardhi ?

Mrusi anatwangana ndugu zake, Anapigana au anapiganishwa ?
 
Mzungu anapigana vita kwa maslahi yake mwenyewe na nchi yake na kizazi chake.
Democide ndani ya U.S ni kubwa na inazidi kukua kila leo.
Deep state ( Wahuni wanaifubaza Mamlaka ya Raisi na Serikali yake) hapa nazungumzia war veterans,CIA wahovyo, FBI wahovyo na wengineo wanaamua kuunda matukio ya kuleta machafuko kwa maslahi yao Sisi tunaona maslahi ya Taifa.
 
Back
Top Bottom