MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.


Naona umelewa hivi?
Wazungu ndio waliosababisha balaa zote za duniani. Hivyo nguvu waneipats kiwizi. Hata vita vya Iraq na Libya ni wao nia kutimiza ahadi ya baba yao muisrael ambaye anaua ovyo kutumia pesa za marekani wameshapewa billion 20 dollar kislaha.
Vita 95% ya vita vikuu vya duniani mwanzilishi ni mzungu. Kasome
 
Huyo jamaa ni mfano hai wa mada yake mwenyewe. Watu ambao ni wachache sana one might say.

Sitoongelea kuhusu waarabu sababu siwajui na wala hatufanani kivyovyote, na nina uhakika huyo genius anaongelea waarabu sababu yuko biased kidini. Bila shaka ni Christian. Religious indoctrination is a dangerous thing.

Naona anaongelea wazungu akimaanisha Europeans, kama the Paragon of civilization. Labda sababu ya mafanikio yao, kitu kinachodhihirisha upumbavu wake anaousema. Sababu kama angekuwa na akili chache hata za kuvukia barabara basi angegundua Europeans ndio walioleta ukoloni Barani Afrika, waligeuza mababu wa kiafrika watumwa, wakawatumikisha kama wanyama bila chembe ya huruma, kuwatesa, na kuwaua. Hivyo Europeans sio wapumbavu tu wasiopenda amani, bali ni washenzi na makatili. Na hawakufanya ushenzi Afrika tu, bali dunia nzima. Ikiwemo kwenda kuchukua ardhi za watu kinguvu na kuwaua wenyewe, au anadhani Marekani ni ardhi ya wazungu ile? Vita vya dunia walikuwa wanapigna kina nani kama sio Wazungu? Au Hitler alizaliwa kimbiji na alikuwa mweusi?

Wazungu ni matajiri sababu ya ukatili walioufanya, hivyo utajiri sio morality na Umasikini sio upumbavu, sababu ulikuwa moral enough kutofanya ukatili kwa wengine ili ufanikiwe wewe.

Huu ni ujinga uliopitiliza viwango.
Upo sahihi kabisa...
 
Tunatakiwa tujiulize, binadamu wa kwanza alikuwa muarabu, mhindi, mwafrika, au mzungu? Na je, hawa wengine walitokea wapi?
Chanzo halisi Cha binadamu haijulikani.
Ila binadamu wa kale zaidi mifupa yake inaonyesha aliishi miaka million sita iliyopita (kutoka Kenya), lakini pia fuvu la Olduvai gorge nalo linaonyesha binadamu aliishi miaka million nne iliyopita (kutoka Tanzania).
BTW, inasadikika binadamu walianzia East Africa na kuanza kusambaa sehemu mbalimbali za Dunia; Kwa mfano, kuelekea Asia, Australia, n.k.
Lakini vile vile Ulaya Nako Kuna fossils za binadamu zinazoonyesha aliishi pale (Ulaya) kabla ya hata binadamu wa East Africa kusambaa sehemu zingine za Dunia.

Kuhusu rangi: Mzungu atakucholea zinjanthropus wa Ulaya kuwa mweupe, alafu wa East Africa atakucholea mweusi (Mzungu huyo).
 
Chanzo halisi Cha binadamu haijulikani.
Ila binadamu wa kale zaidi mifupa yake inaonyesha aliishi miaka million sita iliyopita (kutoka Kenya), lakini pia fuvu la Olduvai gorge nalo linaonyesha binadamu aliishi miaka million nne iliyopita (kutoka Tanzania).
BTW, inasadikika binadamu walianzia East Africa na kuanza kusambaa sehemu mbalimbali za Dunia; Kwa mfano, kuelekea Asia, Australia, n.k.
Lakini vile vile Ulaya Nako Kuna fossils za binadamu zinazoonyesha aliishi pale (Ulaya) kabla ya hata binadamu wa East Africa kusambaa sehemu zingine za Dunia.

Kuhusu rangi: Mzungu atakucholea zinjanthropus wa Ulaya kuwa mweupe, alafu wa East Africa atakucholea mweusi (Mzungu huyo).
Inabidi kufanya utafiti, ni kitu gani kilisababisha hizi 'races' kuwepo. Je ni hali ya hewa, mwanga wa jua au nini?
 
Je wazungu wenyewe ndio wanakuja kukuua au wanakula njama na waafrika wenzako wa jamii yako?

Kwa nini wazungu wameweza kuwa nyuma kwenye mipango juu ya waafrika?

Kwa nini waafrika hawawezi kuwa nyuma juu ya mipango ya wazungu?

Kwa nini inakuwa vigumu kwa Waafrika kutumia intelligence agency zao kwenda kwenye nchi za wazungu kuleta vurugu na vita?

Tatizo ni kwamba, Waafrika wanapenda rushwa. Mwafrika ukisha mhonga anaweza kumsaliti hata mama yake mzazi kisa hiyo rushwa.

Ila ni ngumu sana mwafrika kumshawishi mzungu kwenye jambo lolote lile hata kwa rushwa.

Je huoni wazungu wametuzidi maarifa hapa?



Mataifa makubwa yote USA na Russia. Watu wake na viongozi wake wameungana kwa pamoja na hakuna nafasi au mwanya wowote ule kwa msaliti kusaliti nchi akabaki salama.

Ndio maana yule kiongozi wa Wagner Prighozin alipoleta usaliti aliuwawa chap.

Njoo Afrika sasa, usaliti uhaini, ukabila na chuki vimetutawala. Ndio maana viongozi wengi hawa aminiani, ishu ya Ruto na Gachagua ni mfano hai.
Mkuu nikili kwamba ni kweli waarabu na waafrika asilimia kubwa tuna sifa zinazotufanya tu-fall prey kwa wazungu.

Ubinafsi, Chuki, Hasira, elimu. sifa hizi ni uzaifu mkubwa, na ni faida kwa wazee wa propaganda na social engineering, hata hawaumizi kichwa saana. , wanagusa tayari tushapoteana.

Ila hata tungekua imara wazungu tusingewaweza, yaani michezo wanayotufanyia na sisi tuwafanyie sio rahisi wenzetu wana deep state.
 
Waarab sijapata wasaa wa kukaa nao , Mimi nimekaa na watu weusi, wachina, wahindi pamoja na wazungu kutoka Western countries..

Ila nilichojifunza ni kuwa Mzungu anakuwa yupo hatua ya juu ya ufahamu ,kuanzia kusikiliza hadi kuongea hadi kujali utu wa MTU .
 
matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)

Kama matatizo yanasababishwa na weupe ni kutokana ujinga wetu! Unaingia mikataba mibovu nani wa kumlaumu!
 
Dunia bila mzungu ingekuwa sehemu ya fujo sana.

Mchango wa wazungu kwenye maisha ya binadamu ni mkubwa sana kwanzia ustaarabu, elimu, sayansi na teknolojia.

Waafrika na waarabu kazi yao ni uharibifu tu.
Kwanini unaandika uongo na ujinga kiasi hiki ?

Unajua nini maana ya Ustaarabu ? Au kujenga magorofa marefu kwako wewe ndio ustaarabu ?
 
Back
Top Bottom