MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

Na yeye alishatawaliwa vilevile.

Kutawaliwa na nani?

Aisee! Hivi unafahamu kwamba Ardhi ya Marekani yote ilikuwa inamilikiwa na Red Indians au Native Americans? Alafu Europeans ambao ndio wazungu, wakaja kuwatoa kwa nguvu na kuua karibu nusu na robo ya Native Americans?

Unafahamu hilo? Kama hukufahamu hilo, una uhakika gani chochote unachokiandika kina mantiki yoyote?
 
Nani alitutawala na kuua mababu zetu? Nani anaiba mali zetu tukipata kiongozi shupavu wanamuua
ukinijibu hayo unambie uzuri wao uko wapi
1. Kutawaliwa ni ishara kuwa wewe ni dhaifu. Walikuja wangapi wakawatawala ninyi mlikuwa wangapi? Mtu anakutawala ukiwa
A. Dhaifu
B. Hujielewi

Ikiwa ni Kiongozi una jeshi na watu wenye kujielewa huwezi kuwa na sababu ya kuuliwa. Waafrika ombaomba,mafisadi,wabinafsi,wakatili,hawajiamini n.k
 
Mjinga ni yule aliyeingizwa kwenye mfumo naye akaingia mkenge na kuanza kumtumikia Bwana wake na kuwasaliti ndugu zake

Wazungu walikuwa smart since, Majinga ni Mabantu
Sahihi kabisa. Wenye shida ni wabantu.
 
A social construct, yet the physical differences are real. Considering that's not the sole factor involved in human differentiation.

Outside of the grand scheme of things. Race is real.
If race is a social contruct then whatever the ills ascribed to race are social issues.

In other words, the problems are not due to anything in the genetic makeup or brains of these people, but due to systems put in place by people.
 
Hakuna jamii isiyo kuwa na watu choka mbaya hapa duniani lakini tunacho angalia ni uwiano.

Hata hao wazungu unao wasifia kuwa wana maisha mazuri ni wazungu kutoka baadhi ya mataifa machache lakini mataifa mengine mengi ya kizungu hasa ya Ulaya mashariki na America ya kusini ni choka mbaya.
Huko Amerika ya kusini Blacks ndio wengi na ndio kuna magenge ya kihalifu balaa. Nchi za Venezuela na Colombia ni mifano hai.

Na ndio kila mara wanahangaika kuingia Amerika ya kaskazini USA na Canada na wanadhibitiwa sana.

Wazungu wenye shida sio wengi sana kulinganisha na watu weusi wenye shida.

Watu weusi ndio wenye shida sana.
Kwanza tusiende mbali tuanzie ndani ya nchi yako ambayo asilimia 99.9 ni watu weusi lakini %85ya uchumi wa Tz inamilikiwa na waarabu na wahindi ambao ni sawa na 01% ya watz bado utaendelea kujilinganisha nao.

Ebu nenda Morocco hapo alafu tembelea majiji kama Malaccesh, Rabat, Casablanca alafu urudi hapa Tz ulinganishe na hizi takataka zetu tunazo ziita majiji.
Mtu anaye weza kuwalinganisha waarabu na waafrica edha ni chuki dhidi ya waarabu au ni hajawahi kutembea.
Hivi ulielewa nilicho andika?

Mimi sijalinganisha waafrika na waarabu.

Mimi naongelea wazungu kwa kuwalinganisha na watu weusi waafrika na waarabu.
 
matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
sasa kwa nn mkubali kuchonganishwa kama mna timamu kichwani? mweusi ni mweusi tu, kwa nn sisi hatuwachonganishi hawo wazunzu, waafrika na waarabu akili kisoda
 
What the hell are you talking about?

Nationality? Nani amekwambia U-Afrika ni Nationality? Afrika ni bara na wanaokaa kwenye hilo bara wanaitwa Africans. Kama ilivyo Asia na Asians.

Black sio race, ni rangi. Rangi ya wamarekani. Sababu Marekani kuna jamii mbili tofauti, moja yao haina kwao wala itambulisho rasmi, hivyo njia bora ya wao kujitofautisha ni kujiita Black na White people.

Wewe una utambulisho wako, una bara lako, Nchi yako, kabila lako na jina lako. Usijifananishe na Black Americans wasio na kwao.

Wewe sio Black, wewe ni Muafrika. Na mimi sio Black, ni Muafrika mwenye rangi ya pale brown, sio black.

Yaelekea una tatizo la Ubongo, kwanza wewe ni MWONGO MKUBWA

Black sio race alliyekudanganya nani?

Nani amekuambia America kuna races mbili pekee?

Acha uduanzi, Blacks and whites is among other races zilizopo America though superior ni White ndio maana kuna White Supremacy kwsbb wanadominate other races ambao ni Blacks ,latins, Red Indians n.k

Uafrika unatokana na Location, Hata Mo Dewji, Bakhressa ni Watanzania kwasababu ya Location ila sio weusi kwamaana ya Race, wale ni Asians kiasili ila kieneo ni Watanzania

Huko shuleni ulienda kusomea Ujinga?
 
Sijakuuliza nani mjinga, kama ni ujinga basi wote ni wajinga. Sababu kumgeuza binadamu mwingine mtumwa sio kitendo cha akili, bali ni kitendo cha kikatili kilichosababishwa na ujinga.

Hapo nimekuuliza nani mwenye makosa. Nani mwenye makosa hapo?
Hapana, kumgeuza Mwanadamu mwenzio kwa maslahi yako, ndugu zako, Taifa lako na kizazi chako (generations to generations) sio Ujinga...ni Ujanja na kuona mbele

"Survival for the Fittest" imetake place

Mjinga ni hawa waliokutwa kwao, wakiwa ni wengi,kwenye ardhi yenye chakula na rasilimali zingine nyingi halafu wanafanywa watumwa na watu wachache wenye mbinu na akili kuwazidi wao

Usipingane na Ukweli na Uhalisia
 
Napingana na maono ya mdau kwa upande wa muafrica asilimia kubwa kiasili waafrica hawana nongwa...

Kwa upande wa waarabu naunga mkono hoja waarabu ni pasua kichwa hapa duniani bahati mbaya wakakutana na wakufunzi waliotoa mafundisho mabaya kupitia imani/dini na baadhi ya mafundisho yakawafikia baadhi ya nchi za kiafrika nao wakala sumu.(brain wash).
 
Kutawaliwa na nani?

Aisee! Hivi unafahamu kwamba Ardhi ya Marekani yote ilikuwa inamilikiwa na Red Indians au Native Americans? Alafu Europeans ambao ndio wazungu, wakaja kuwatoa kwa nguvu na kuua karibu nusu na robo ya Native Americans?

Unafahamu hilo? Kama hukufahamu hilo, una uhakika gani chochote unachokiandika kina mantiki yoyote?
Baada ya kuuliwa hao Red Indians kwani waliisha wote kabisa wakafutika kabisa duniani?

Nilikwambia tangu mwanzoni, Zamani ukiwa mnyonge lazima uuwawe.

Hivyo hao Red Indians walikuwa very weak na ndio maana wazungu waliwaua.

Ila na wazungu hao hao wakaja kufurushwa 1776.
 
Wazungu wakipigana vita.... Geniuses.
Mwarabu......Udini.
Mweusi.... Hana akili.
Walio wengi ushamba wa kimagharibi kwao wanaona ni ujanja.
Mzungu anapigana vita kwa maslahi yake, hasa kiuchumi

Mwarabu anapigana vita kwa maslahi ya dini yake, ambayo pia inakataza kuua

Mtu mweusi hapigani vita, anapiganishwa vita yeye na ndugu zake (wenyewe kwa wenyewe) kwa sababu ni Wajinga na ni kwa maslahi ya Mzungu

Elewa tofauti
 
Yaelekea una tatizo la Ubongo, kwanza wewe ni MWONGO MKUBWA

Black sio race alliyekudanganya nani?

Nani amekuambia America kuna races mbili pekee?

Acha uduanzi, Blacks and whites is among other races zilizopo America though superior ni White ndio maana kuna White Supremacy kwsbb wanadominate other races ambao ni Blacks ,latins, Red Indians n.k

Uafrika unatokana na Location, Hata Mo Dewji, Bakhressa ni Watanzania kwasababu ya Location ila sio weusi kwamaana ya Race, wale ni Asians kiasili ila kieneo ni Watanzania

Huko shuleni ulienda kuomea Ujinga?

Wewe jamaa eidha una akili fupi kupitiliza au ni some advanced troll. Hivi umesoma kweli nilichokiandika acha alone kuelewa?

Kama rangi ya mtu ndio ingekuwa sole factor ya ku-determine race ya mtu, basi ukiongelea Blacks utakuwa unaongelea na wahindi ambao ni Asians wenye rangi nyeusi kuliko Waafrika. Au wewe unadhani kwanini Asians hawajiiti yellow people? Hilo ni tusi kwao. Sababu kumuita mtu kwa rangi yake ni kum-dehumanize sababu unautia ubinadamu wake wote kwenye shade ndogo ya rangi. Race inakuwa determined na bara ulilozaliwa na watu waliokuzunguka, culture na aina ya maisha.

Black sio race, ni identity ya Black Americans waliokuwa watumwa. Hata wewe ukienda Marekani leo, wakisikia tu accent yako, hawatokuita Black. Watakuita muafrika. Hivi unafahamu Waafrika wanaheshimiwa na kuaminiwa zaidi Marekani hasa maeneo ya kazi kuliko Black Americans wenye sifa mbaya? Unafahamu kwamba Black Americans hawatupendi Waafrica sababu wanadhani tunawadharau na kutuona tupo juu zaidi yao?
Unafahamu kwamba Waafrika wanajiepusha na Black Americans at all costs?

Wale wanaweza kufanana nao kwa rangi, lakini sio wenzako. Ukienda Marekani leo watakukataa sababu hawakujui.

Do you know that, or are you living under a giant rock? Ngoja niweke Youtube video hapa uone huyu mshenzi Black American anavyotutukana Waafrika na usome na hizo comments za hao Blacks unaowapenda sana.
 
Napingana na maono ya mdau kwa upande wa muafrica asilimia kubwa kiasili waafrica hawana nongwa...
Nenda Congo, Tigray huko Ethiopia, Cabo Delgado Msumbiji, Sudan, Gabon, Afrika ya kati, Burkina Faso uone jinsi waafrika wanavyo chinjana na kuuana kama kuku.

Halafu ndio utapima kama kweli waafrika hawana nongwa.

Ukiishi Tanzania tu, ukila na kunywa na kutulia hutajua uhalisia waafrika watu weusi ulivyo.

Tembea uone.
Kwa upande wa waarabu naunga mkono hoja waarabu ni pasua kichwa hapa duniani bahati mbaya wakakutana na wakufunzi waliotoa mafundisho mabaya kupitia imani/dini na baadhi ya mafundisho yakawafikia baadhi ya nchi za kiafrika nao wakala sumu.(brain wash).
 
Huko Amerika ya kusini Blacks ndio wengi na ndio kuna magenge ya kihalifu balaa. Nchi za Venezuela na Colombia ni mifano hai.

Na ndio kila mara wanahangaika kuingia Amerika ya kaskazini USA na Canada na wanadhibitiwa sana.

Wazungu wenye shida sio wengi sana kulinganisha na watu weusi wenye shida.

Watu weusi ndio wenye shida sana.



Hivi ulielewa nilicho andika?

Mimi sijalinganisha waafrika na waarabu.

Mimi naongelea wazungu kwa kuwalinganisha na watu weusi waafrika na waarabu.
Acha uongo % 80 ya watu wa America ya kusini ni wazungu , %10waafrca na 10 iliyo baki ni waratino na jamii zinginezo lakini bado nchi nyingi za American ya kusini ni masikini wa kutupwa.
 
Hapana, kumgeuza Mwanadamu mwenzio kwa maslahi yako, ndugu zako, Taifa lako na kizazi chako (generations to generations) sio Ujinga...ni Ujanja na kuona mbele

"Survival for the Fittest" imetake place

Mjinga ni hawa waliokutwa kwao, wakiwa ni wengi,kwenye ardhi yenye chakula na rasilimali zingine nyingi halafu wanafanywa watumwa na watu wachache wenye mbinu na akili kuwazidi wao

Usipingane na Ukweli na Uhalisia
Bado hujajibu swali.

Nani mwenye makosa?
 
kwa sasa hali ndo ipo hivyo ila ukikaa na kutafakari kwa makini utagundua mzungu ndo chanzo cha kila aina ya matatizo kwenye dunia,mienendo ya wazungu ndo iliyotengeza matatizo/tabia za waarabu na black...nchi ndogo zinapojitambua na kutaka rasilimali zake kama dhahabu,mafuta,gesi n.k zilindwe na sio kuchukuliwa km shamba la bibi wazungu wananuna na kuwaanzishia migogoro wenyewe kwa wenyewe...sasa hapo mwenye matatizo nani km sio mzungu
 
Wewe jamaa eidha una akili fupi kupitiliza au ni some advanced troll. Hivi umesoma kweli nilichokiandika acha alone kuelewa?

Kama rangi ya mtu ndio ingekuwa sole factor ya ku-determine race ya mtu, basi ukiongelea Blacks utakuwa unaongelea na wahindi ambao ni Asians wenye rangi nyeusi kuliko Waafrika. Au wewe unadhani kwanini Asians hawajiiti yellow people? Hilo ni tusi kwao. Sababu kumuita mtu kwa rangi yake ni kum-dehumanize sababu unautia ubinadamu wake wote kwenye shade ndogo ya rangi. Race inakuwa determined na bara ulilozaliwa na watu waliokuzunguka, culture na aina ya maisha.

Black sio race, ni identity ya Black Americans waliokuwa watumwa. Hata wewe ukienda Marekani leo, wakisikia tu accent yako, hawatokuita Black. Watakuita muafrika. Hivi unafahamu Waafrika wanaheshimiwa na kuaminiwa zaidi Marekani hasa maeneo ya kazi kuliko Black Americans wenye sifa mbaya? Unafahamu kwamba Black Americans hawatupendi Waafrica sababu wanadhani tunawadharau na kutuona tupo juu zaidi yao?
Unafahamu kwamba Waafrika wanajiepusha na Black Americans at all costs?

Wale wanaweza kufanana nao kwa rangi, lakini sio wenzako. Ukienda Marekani leo watakukataa sababu hawakujui.

Do you know that, or are you living under a giant rock? Ngoja niweke Youtube video hapa uone huyu mshenzi Black American anavyotutukana Waafrika na usome na hizo comments za hao Blacks unaowapenda sana.
Ngoja nikuache ubaki na Upumbavu wako, hiyo color unayosema ndiyo inayotengeneza Race
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_180738_Chrome.jpg
    Screenshot_20241103_180738_Chrome.jpg
    105.9 KB · Views: 2
Bado hujajibu swali.

Nani mwenye makosa?
Wewe una Ujinga, kabla ya kukimbilia huko nataka kwanza uelewa nini maana ya Race au Racial group

Makosa kulingana na Perception ipi? Kitu ambacho kwako ni makosa kwangu yanaweza yasiwe makosa, kuoa wake wengi kwako kunaweza kuwa makosa ila kwangu ikawa sawa

Elewa kwanza haya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_180635_Chrome.jpg
    Screenshot_20241103_180635_Chrome.jpg
    158.8 KB · Views: 1
Acha uongo % 80 ya watu wa America ya kusini ni wazungu , %10waafrca na 10 iliyo baki ni waratino na jamii zinginezo lakini bado nchi nyingi za American ya kusini ni masikini wa kutupwa.
Ndio ni wazungu kutokana na location waliopo.

Ila wengi ni weusi.

Sasa linganisha wazungu wa Europe wa nchi za Uingereza, Ujerumani, uholanzi, uhispania, Finland, Denmark, Sweden, Norway na hao wazungu wa South Amerika wa Colombia, Venezuela, Peru, Chile, Uruguay, Paraguay n.k

Wapi wapo vizuri kiuchumi, kisayansi na kiteknolojia?
 
Back
Top Bottom