Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100/100.Je unakubaliana nae au unakataa
Still Africa anaruhusu kutumika, mzungu mwenyewe hajashika bunduki. Africa ina shida it's true. Jambo hili linaniuma sana.matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
kitu pekee nawasifu waarabu. mafuta tu yamebadili kila kitu. njoo kwa nyau za bara gizaAt least wapumbavu wenzetu wa kiarabu wameweza kujinufaisha na mali zao.
Ikija huku kwetu sasa, ni mipumbavu iliyo mafukara huku wakimiliki rasilimali za kutosha.
Waarab wana afadhali sisi ndo shida
Unachuki binafsi na waarabu ila hao ndio race bora kuwahi kutokea ulimwenguni
Kukubaliana ama kukataa ilitakiwa ajenge hoja ama aweke kiambatishi ili tuone mantiki yake.
Kuita nyau ni sifa kubwa. Sisi ni somba mavi.kitu pekee nawasifu waarabu. mafuta tu yamebadili kila kitu. njoo kwa nyau za bara giza
Naomba uniambie ni kitu gani mwafrika ameweza kufanya mwenyewe kikaleta mabadiliko makubwa duniani pasipo kuhitaji msaada wowote ule wa kifedha au kiutaalamu kutoka kwa wazungu.Kukubaliana ama kukataa ilitakiwa ajenge hoja ama aweke kiambatishi ili tuone mantiki yake.
Maneno ya jumla jimla hayo hayaleti maana yoyote.
Ukiangalia hali ya maisha na discipiline ya waarabu utafananisha na watu weusi kweli?Sisi weusi ni wajinga ila Mwarabu ndio jinga zaidi. Bora sisi hata shule angalau. Yeye ana kitabu chake anasema kina ilim zote😀😀
Huyu mwandishi nadhani ni hawa GEN Z ambao hawajui lolote la nini kinaendelea hapa duniani. Ni mjinga sana. Angekuwa ni mpumbavu wala nisingeandika.
Ni Uongo. Matatizo ya watu weusi ni Upumbavu wa watu Weusi wenyewematatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
Mmefika hapo mlipo sababu ya upumbavu wenu.Yule ni mpumbavu wa kutupwa. wazungu hawafai hata kidogo ndo waliotufikisha hapa tulipo.
Waafrika ni watu poa sana asee