MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
Still Africa anaruhusu kutumika, mzungu mwenyewe hajashika bunduki. Africa ina shida it's true. Jambo hili linaniuma sana.
 
Sisi weusi ni wajinga ila Mwarabu ndio jinga zaidi. Bora sisi hata shule angalau. Yeye ana kitabu chake anasema kina ilim zote😀😀
 
kitu pekee nawasifu waarabu. mafuta tu yamebadili kila kitu. njoo kwa nyau za bara giza
Kuita nyau ni sifa kubwa. Sisi ni somba mavi.

1730640316554.jpeg

Tunawapa wazungu rasilimali halafu wanatupia makapi kwa jina la msaada.
 
Ndio mnavyodanganywa hivyo kama mlivyodanganya idi Amin alikuwa anakula nyama za watu kuna innovation nyingi tena kubwa zilianzishwa na watu weusi sema wazungu wanaficha uhalisia na ww umeingia King ila waafrika kweli hatupendani.
 
Mwandishi ndio ako na ujinga ujinga! Yaani unawezaje kuweka mzungu ndio kipimo cha ustaarabu? Watu wanat*mbana wanaume kwa wanaume,wanawake kwa wanawake wanasagana?,wanafunga ndoa na wanyama?kwa taarifa hii dunia yaweza kuwa mahala penye amani na starehe kama wazungu wote wataondoka! And kwa taarifa yako the whites are not the original race of this world! Ni watu wabaya sana kutoka kutokea! Ni watu ambao hawaridhiki ,wanatamani hii dunia waishi wao tu,wanatuletea magonjwa mara ukimwi ,mara covid tu kwa tamaa zao!
 
Kukubaliana ama kukataa ilitakiwa ajenge hoja ama aweke kiambatishi ili tuone mantiki yake.

Maneno ya jumla jimla hayo hayaleti maana yoyote.
Naomba uniambie ni kitu gani mwafrika ameweza kufanya mwenyewe kikaleta mabadiliko makubwa duniani pasipo kuhitaji msaada wowote ule wa kifedha au kiutaalamu kutoka kwa wazungu.

Angalau kwenye nyanja za kiuchumi, kisiasa, kielimu, kiafya na kwenye sayansi na teknolojia.

Bila kuhusisha msaada wa aina yeyote ile wa utaalamu au fedha za wazungu.
 
Sisi weusi ni wajinga ila Mwarabu ndio jinga zaidi. Bora sisi hata shule angalau. Yeye ana kitabu chake anasema kina ilim zote😀😀
Ukiangalia hali ya maisha na discipiline ya waarabu utafananisha na watu weusi kweli?
Waarabu wana matatizo yao lakini sisi watu weusi tumezidi, wachawi si wachawi yani ni shida tu
 
Huyu mwandishi nadhani ni hawa GEN Z ambao hawajui lolote la nini kinaendelea hapa duniani. Ni mjinga sana. Angekuwa ni mpumbavu wala nisingeandika.
Labda nigusie mambo juu juu na kwa kifupi nisimchoshe kwa mada ndefu.

Wazungu wa nchi zote ulizozitaja na ambazo hukuzitaja, mitindo ya maisha yao inagharimiwa na Afrika. Je ulikuwa unajua kwamba nchi zote zilizotawaliwa na Ufaransa kule Afrika Magharibi hazikuruhusiwa kuwa na Bank Kuu zao bali Bank Kuu ya nchi hizo ilikuwa ni Ufaransa yenyewe? Kwanini walifanya hivyo? Ili Waafrika hao wasijiamulie mambo ya kufanya bali amri ya kufanya lolote stoke Ufaransa. Kwanini
Kwasababu baada ya Mapinduzi ya viwanda Ulaya malighafi Ulaya iliisha wakaamua kuhamia Afrika sasa ili wasigombanie maeneo ndipo wakaitisha Berlin CONFERENCE mwaka 1884 hadi 1885 wakaigawa Afrika. Baada ya kugawana Afrika kila nchi iliingiza mtindo wake wa jinsi itakavyo tawala eneo husika. Nitoe mfano wa nchi ya Congo wakati huo ikiitwa Zaire. Siku Zaire ilipopata uhuru kutoka kwa Wabelgiji Rais wa nchi hiyo aliyeitwa Kasavubu alitoa hotuba mbele ya Ufalme Leopord II akamsifu sana jambo lililomkasirisha Waziri Mkuu Patrice Lumumba ambaye hakuwa amepangiwa kuongea chochote mbele ya Mfalme. Patrice Lumumba aliivamia podium akatoa hotuba ndefu akiukandia utawala wa Mfalme Leopord. Hotuba yake ilikuwa ni ya mwisho kusikia duniani kwani usiku uleule alifuatwa nyumbani kwake akachukuliwa kwenda kuuawa. Jambo kubwa aliloingilia ni maslahi ya Ubelgiji nchini Zaire. Hii ni mfano mmoja katika maelfu elfu ya yale wazungu wanayotufanyia sisi weusi. Kifupi elewa kuwa Afrika ni soko kuu la madini kwao. Hii ni sababu Kwanini vita haziishi nchi kana DRC. Huko kwa Waarabu ni wewe usiye jua kiini ni nini na ndio maana nikasema wewe ni hawa GEN Z mabroiler. Kule kwa Waarabu hao Wazungu wanatafuta Mafuta. Sasa ili nchi yako single kwenye misukosuko watatumia kila hila ionekane Rais hafuati Democrasia, chukua mfano wa Libya ya Colonel Muammar Ghadaf ambaye katika mkutano wa AU Adiss Ababa Ghadaf aliwaasa wajumbe kwamba nchi za Afrika zinalipa gharama kubwa sana kwa kupiga simu Kwasababu Wazungu wameweka satellite yao kupatia faida kubwa. Akawaambia wajumbe kuwa atanunua satellite kwa ajili ya nchi za Afrika na watatumia bure. Wazungu waliposikia hilo wakapanga mauaji kwake na wakamuua. Tunaona Saddam Hussein alivyofanyiwa kwa uongo waliouzusha kuwa anamiliki silaha za maangamizi wakati hakuwa nazo.

Kifupi elewa tu kwamba kila kukicha wanabuni mbinu za kutupunguza idadi ili warudi kututawala upya. Hili wamefanikiwa sana kwani sasa hivi wavulana huku mitaani hawatifautiani na mabinti kasoro matiti tu. Hapo nazungumzia USHOGA na USAGAJI. Haya mambo yataimaliza Afrika. Jambo jingine wameweza kuwa empower wanawake wapendelee single mother. Hii ina athari kubwa sana kimalezi. Mtoto akikua chini ya Single Mother pekee kuna athari za ki psychology ambapo mtoto atapiteza braveness mwisho tutakosa hata vijana wa kujiunga jeshi, atabaki zaidi kupenda kuwa kama mama yake mwisho ushoga huo.. Anyway nisikujaze mengi niishie hapo.
 
matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)
Ni Uongo. Matatizo ya watu weusi ni Upumbavu wa watu Weusi wenyewe
 
Back
Top Bottom