MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.


Naona umelewa hivi?
Wazungu ndio waliosababisha balaa zote za duniani. Hivyo nguvu waneipats kiwizi. Hata vita vya Iraq na Libya ni wao nia kutimiza ahadi ya baba yao muisrael ambaye anaua ovyo kutumia pesa za marekani wameshapewa billion 20 dollar kislaha.
Vita 95% ya vita vikuu vya duniani mwanzilishi ni mzungu. Kasome
 
Upo sahihi kabisa...
 
Tunatakiwa tujiulize, binadamu wa kwanza alikuwa muarabu, mhindi, mwafrika, au mzungu? Na je, hawa wengine walitokea wapi?
Chanzo halisi Cha binadamu haijulikani.
Ila binadamu wa kale zaidi mifupa yake inaonyesha aliishi miaka million sita iliyopita (kutoka Kenya), lakini pia fuvu la Olduvai gorge nalo linaonyesha binadamu aliishi miaka million nne iliyopita (kutoka Tanzania).
BTW, inasadikika binadamu walianzia East Africa na kuanza kusambaa sehemu mbalimbali za Dunia; Kwa mfano, kuelekea Asia, Australia, n.k.
Lakini vile vile Ulaya Nako Kuna fossils za binadamu zinazoonyesha aliishi pale (Ulaya) kabla ya hata binadamu wa East Africa kusambaa sehemu zingine za Dunia.

Kuhusu rangi: Mzungu atakucholea zinjanthropus wa Ulaya kuwa mweupe, alafu wa East Africa atakucholea mweusi (Mzungu huyo).
 
Inabidi kufanya utafiti, ni kitu gani kilisababisha hizi 'races' kuwepo. Je ni hali ya hewa, mwanga wa jua au nini?
 
Mkuu nikili kwamba ni kweli waarabu na waafrika asilimia kubwa tuna sifa zinazotufanya tu-fall prey kwa wazungu.

Ubinafsi, Chuki, Hasira, elimu. sifa hizi ni uzaifu mkubwa, na ni faida kwa wazee wa propaganda na social engineering, hata hawaumizi kichwa saana. , wanagusa tayari tushapoteana.

Ila hata tungekua imara wazungu tusingewaweza, yaani michezo wanayotufanyia na sisi tuwafanyie sio rahisi wenzetu wana deep state.
 
Waarab sijapata wasaa wa kukaa nao , Mimi nimekaa na watu weusi, wachina, wahindi pamoja na wazungu kutoka Western countries..

Ila nilichojifunza ni kuwa Mzungu anakuwa yupo hatua ya juu ya ufahamu ,kuanzia kusikiliza hadi kuongea hadi kujali utu wa MTU .
 
matatizo na migogoro mingi kwa aslimia kubwa ya africa yanatokana na watu weupe eg. DRC, Libya nk.
Kwenye famila mtu tajiri akisema wewe ni mwizi hiyo imepitishwa hakuna wakupinga (nchi maskini vs tajiri)

Kama matatizo yanasababishwa na weupe ni kutokana ujinga wetu! Unaingia mikataba mibovu nani wa kumlaumu!
 
Tunafanyiwa hayo na wazungu kwa sababu sisi kiasili tuna ubinafsi na ujinga.... Mjanja hawezi kufanyiwa hayo yote... Mali hawezi kuibiwa mjanja, anaibiwa mjinga
Kwanini tulipata rais mjanja anayethibiti wizi wao wanamuua?
 
Dunia bila mzungu ingekuwa sehemu ya fujo sana.

Mchango wa wazungu kwenye maisha ya binadamu ni mkubwa sana kwanzia ustaarabu, elimu, sayansi na teknolojia.

Waafrika na waarabu kazi yao ni uharibifu tu.
Kwanini unaandika uongo na ujinga kiasi hiki ?

Unajua nini maana ya Ustaarabu ? Au kujenga magorofa marefu kwako wewe ndio ustaarabu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…