MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

Tatizo ni kwamba wanataka waforce all races kuwa na utamaduni mmoja, hapo ndo tunaonekana wakorofi. Nadhani mpango wa kugawa hizi races kwa mabara kama ulifanyika naturally, ilikuwa na maana kubwa sana. Kwamba weusi wengi (kama siyo wote) wawe Africa. it means wanaaina ya maisha yao wenyewe yanawafaa wenyewe ambayo hayaingiliani na mzungu, the same to Arabs na races nyingine.
Leo hii umchukue muadzabe wa kule maporini kabisa useme unamleta aishi Dar lazima utamuona mkorofi, au mpumbavu. Sababu atabehave tofauti na watu wa Dar, lakini ishu kubwa ni kwamba unamforce aishi maisha ambayo siyo yake.
Kwahiyo hizi races zipo sawa kabisa 😆😆😆 wazungu ndiyo wanazingua,
 
Huwa nawaambia watu humu ni nafuu mara 100 waafrika wasiokuwa wabantu...kama Wasomali, Wamasai, Waethiopia na Waarabu coz wana umoja na kupendana...tatizo Wabantu
upo sahihi mwanangu ila watoe waethiopia ni majinga tu yanabaguana kwa ukabila. kwangu ni kiwango cha juu mno cha upumbavu
 
Arabs ni white races kama hujui kuanzia leo ujue
Ndio ila soma vizuri thread heading
xz.PNG
 
Kumbe mleta mada ni mhaya! Sina cha kuongeza. Sijui inakuwaje modes wanaruhusu mada za kipumbavu na kibaguzi kama hizi. Kwa mtu ambaye hajaishi na wazungu kama huyu, kwa vile alifundishwa kwenda haja na kujisafisha na hao akadhani wote walikuwa kama yeye, kila kitu ni mzungu. Nenda Ulaya na Marekani ukaone walivyo wachafu kuliko hata mifugo yetu. Msidanganywe na hawa wanaoletwa kama mabalozi na wanadiplomasia ambao hupokea mafunzo maalumu ya namna ya kuishi na kujionyesha wakiwa ugenini. Kimsingi, hii mada ni ya kipumbavu sawa na zile za ngonongono. Muda mrefu nilijiondoa humu sikujua JF imevamiwa na kuharibika hivi.
 
Arabs ni white races kama hujui kuanzia leo ujue

Arabs na Whites mara nyingi hazitumiwi kama races.

Hapo mwanzo ulikuwa ukizungumzia tabaka unazungumzia watu kama

1. Caucasoid (or Caucasian) – Mara nyingi akimaanisha watu wa Ulaya, Mashariki ya Kati, na baadhi ya asili ya Asia ya Kusini.


2. Negroid (or Black/African) – Kwa ujumla inarejelea watu wenye asili ya Kiafrika, haswa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.


3. Mongoloid (Asian) – Inarejelea watu wa asili ya Asia ya Mashariki, Asia ya Kusini-mashariki na Wenyeji asilia wa Marekani.


4. Australoid – Inarejelea Wenyeji wa Australia na watu wa Melanesia, visiwa vya kando kama New Zealand.


Lakini hivi sasa tunapozungumzia tabaka (races, ethnicity and ancestry) tunazungumzia uwanja mpaka wa kutofautisha watu kimuonekano. Matabaka kwa Mfano;


European - jamii ya watu wa ulaya (., German, Italian, Greek)

Middle Eastern and North African (MENA) - Mtu wa mashariki ya kati na kutoka Kaskazini mwa Africa (., Arab, Berber, Iranian)

African - Muafrika (Yoruba, Zulu, Ethiopian, Muhaya, Mzaramo na jamii zote za Kibantu)

South Asian - Muasia wa Kusini (mfano., Mhindi, Mpakistani, Mbangladeshi)

East Asian - Muasia wa Mashariki (mfano., Mchina, Mjapani, Mkorea)

Southeast Asian - Muasia wa Kusini-Mashariki (mfano., Mfilipino, Mthailand, Mvietnam)

Native American/Indigenous Peoples - Mzawa Asilia wa Amerika (Mfano ., Navajo, Uinuit, Quechua, ("Jamii za wahindi Wekundu")

Pacific Islander - Mtu wa Visiwa vya Pasifiki (Mfano., polynesian, maori)

Hispanic/Latino - Walatino (Mfano., Mexican, Puerto Rican, Cuban)

Tafiti za kisasa zinazingatia utofauti wa vinasaba baina ya kundi la watu, urithi wa kitamaduni, na utambulisho wa kitamaduni kuliko kutumia vipengele vya rangi za ngozi vilivyopitwa na wakati.
 
Arabs na Whites mara nyingi hazitumiwi kama races.

Hapo mwanzo ulikuwa ukizungumzia tabaka unazungumzia watu kama

1. Caucasoid (or Caucasian) – Mara nyingi akimaanisha watu wa Ulaya, Mashariki ya Kati, na baadhi ya asili ya Asia ya Kusini.


2. Negroid (or Black/African) – Kwa ujumla inarejelea watu wenye asili ya Kiafrika, haswa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.


3. Mongoloid (Asian) – Inarejelea watu wa asili ya Asia ya Mashariki, Asia ya Kusini-mashariki na Wenyeji asilia wa Marekani.


4. Australoid – Inarejelea Wenyeji wa Australia na watu wa Melanesia, visiwa vya kando kama New Zealand.


Lakini hivi sasa tunapozungumzia tabaka (races, ethnicity and ancestry) tunazungumzia uwanja mpaka wa kutofautisha watu kimuonekano. Matabaka kwa Mfano;


European - jamii ya watu wa ulaya (., German, Italian, Greek)

Middle Eastern and North African (MENA) - Mtu wa mashariki ya kati na kutoka Kaskazini mwa Africa (., Arab, Berber, Iranian)

African - Muafrika (Yoruba, Zulu, Ethiopian, Muhaya, Mzaramo na jamii zote za Kibantu)

South Asian - Muasia wa Kusini (mfano., Mhindi, Mpakistani, Mbangladeshi)

East Asian - Muasia wa Mashariki (mfano., Mchina, Mjapani, Mkorea)

Southeast Asian - Muasia wa Kusini-Mashariki (mfano., Mfilipino, Mthailand, Mvietnam)

Native American/Indigenous Peoples - Mzawa Asilia wa Amerika (Mfano ., Navajo, Uinuit, Quechua, ("Jamii za wahindi Wekundu")

Pacific Islander - Mtu wa Visiwa vya Pasifiki (Mfano., polynesian, maori)

Hispanic/Latino - Walatino (Mfano., Mexican, Puerto Rican, Cuban)

Tafiti za kisasa zinazingatia utofauti wa vinasaba baina ya kundi la watu, urithi wa kitamaduni, na utambulisho wa kitamaduni kuliko kutumia vipengele vya rangi za ngozi vilivyopitwa na wakati.
Wairani ni cacasoiid hamna race inaitwa middle eastern
 
Back
Top Bottom