erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
1.Uchaguzi haukuwa na haki na huru
2.Mwitikio wa watu kujitokeza kupiga kura hakuwa mzuri mfano Eneo langu la mtaa walioandikishwa kupiga kura ni 3764 na waliopiga kura ni 280 kwa mujibu wa mawakala waliokuwa wanatunza kumbukumbu ktk vituo vyao.
3.vyama vilishawishi watu ila watu wakiuliza je kura zetu hazifai wa? na kwa wagombea eneo letu ktk kampeni alipata haki sawa za mikutano
4.vijana na wanawake waljitokeza na kugombea
5.uboreshaji kwa uchaguzi 2025 ni kuwa na tume huru na sio mfumo huu tulionao wa wakuu wa mikoa na wilaya,wakurugenzi,watendaji wasihusishwe ktk uchaguzi ilishindikana kusiwepo na uchaguzi CCM washiriki wenyewe.tumeona kura bandia zikiandaliwa na hao.
6.ukuaji wa demokrasia nchi ni Tanzania hakuna bado sana na nigelesha
2.Mwitikio wa watu kujitokeza kupiga kura hakuwa mzuri mfano Eneo langu la mtaa walioandikishwa kupiga kura ni 3764 na waliopiga kura ni 280 kwa mujibu wa mawakala waliokuwa wanatunza kumbukumbu ktk vituo vyao.
3.vyama vilishawishi watu ila watu wakiuliza je kura zetu hazifai wa? na kwa wagombea eneo letu ktk kampeni alipata haki sawa za mikutano
4.vijana na wanawake waljitokeza na kugombea
5.uboreshaji kwa uchaguzi 2025 ni kuwa na tume huru na sio mfumo huu tulionao wa wakuu wa mikoa na wilaya,wakurugenzi,watendaji wasihusishwe ktk uchaguzi ilishindikana kusiwepo na uchaguzi CCM washiriki wenyewe.tumeona kura bandia zikiandaliwa na hao.
6.ukuaji wa demokrasia nchi ni Tanzania hakuna bado sana na nigelesha