Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"risu" ndio nani?Mbowe ameamua kuwabomoa hata akina kamanda risu.
Naamini mbowe ni zito au mrema mwingine.
Wasipomtoa uwenyekiti hawawezi kupata matoke chanya.
Kwa sasa CCM na Chadema wana sifa zinazofanana na kwa ujumla haziwezi kuleta mstakibali mzuri kwa nchi hawafai kwa chochotekura zimepigwa mbele yao,hakuna mjumbe anayelalamikia maamuzi. Ajabu CCM ndio mnaumia.
Pia unaonekana una shida kichwani,unabwata tu bila hoja. Mara Sabaya, mara haki.
Swali: Eleza jinsi gani kura hazikuwa huru na haki,ikiwa zimepigwa mbele yao
unachangia mada ipi? au dege limepotea hewaniKwa sasa CCM na Chadema wana sifa zinazofanana na kwa ujumla haziwezi kuleta mstakibali mzuri kwa nchi hawafai kwa chochote
Anaongea na Magufuli kwa radio call wew umesikia kwa bahati mbaya tu ndugu yanguMbona ni kama unaongea peke yako
Wew ndo una matatizo,unategemea huyo ataongea kipi chenye mashiko!!!!!!??? Hivi unajua stress za kufiwa mwenza( mume) ? It's only mama Janet ambaye ameweza ku absorb that terrible pain,the rest (wives)ndo kama hivyo unavyoona wamechanganyikiwa. RIP jiwekura zimepigwa mbele yao,hakuna mjumbe anayelalamikia maamuzi. Ajabu CCM ndio mnaumia.
Pia unaonekana una shida kichwani,unabwata tu bila hoja. Mara Sabaya, mara haki.
Swali: Eleza jinsi gani kura hazikuwa huru na haki,ikiwa zimepigwa mbele yao
Madhara ya shule za kata. Shule nzima mwalimu mmojaMbona hueleweki? Mara Mbowe, mara mfumko wa bei, mara nendeni mahakamani. Ongea kitu kimoja ueleweke. Isitoshe unawatetea hao ni Wanachama wa CCM yako?
Anafundisha hesabu mpaka sayansi kimu.Madhara ya shule za kata. Shule nzima mwalimu mmoja
Kwanini unatuhusisha tusiohusika mjomba???? Tumefanyeje tena sisi wa shule za kata??Madhara ya shule za kata.
Wewe ndiyo unaujua utaratibu wa kikatiba kuliko karibu mkuu wa CDM ?Hao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.
"Mkimalizana na mabinti wale basi mtakuja kama chama tujue tunafanyaje kutoka hapa. Maana hamuwezi kuwafukuza bunge likakosa akidi. Pia ninyi kutokuwepo bungeni inaleta picha mbaya kwa wahisani. Nenda mkamalizane nao kisha mrudi hapa kama chama. Safari hii siyo kikao cha Samia na Mbowe, kitakuwa kikao cha CCM na serikali na Chadema kama chama."Hivi mmeshajiuliza kilichozumgumzwa kati ya Mbowe na Rais Samia!
Unatumia nini kufikiri?Mbowe ameamua kuwabomoa hata akina kamanda risu.
Naamini mbowe ni zito au mrema mwingine.
Wasipomtoa uwenyekiti hawawezi kupata matoke chanya.
Hahahaha.... utasubiri sana!! Too late rafiki?Waombe radhi kwa nani?
Mchakato wote ulikuwa wa kihuni inabidi mchakato uanze upya kuwasikiliza kuanzia kamati kuu.
CHADEMA hatuna viumbe wa hovyo kama wewe na Mdee wako.Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Hivi bungeni waliingia kwa kura zipi za ushindi? Yaan wanawake gani wa shoka wanapulizwa na upepo wanapeperuka km bendera, kama magu aliamua kuminya democracy akavinyima vyama vyoooote ubunge afu akachagua covid19 kimabavu wakaingia bungeni afu hawana sauti ya kusema suuWaombe radhi kwa nani?
Mchakato wote ulikuwa wa kihuni inabidi mchakato uanze upya kuwasikiliza kuanzia kamati kuu.