Isakhamisi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 387
- 448
Hao haki yao ilikuwa kwa magufuli na ndugai tuWanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
UNGEWASHAULI wamshtaki aliowafundisha UHUNI wa KUGUSHI sahihi ya Katibu MkuuWanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Naona Pasco mtetezi wa Covid 19 ameibuka kwa kasi ya ajabu, maana njaa............Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?,
Japo dhulma za aina hii, haziwezi kupata suluhisho la kisheria mahakamani ni kuongeza tuu siku ili kuendelea kuvuta posho, haki ya kweli, inapatikana kupitia karma!. Tena kuna karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Paskal amezeeka vibaya sana..Naona Pasco mtetezi wa Covid 19 ameibuka kwa kasi ya ajabu, maana njaa............
Kama Pasco anaona wale malaya wa kisiasa wanamfaa basi wachukue au wapeleke kwenye chama chochote unachoona kitawafaa, lakini CHADEMA ilishawatimua wale malaya tangu mwaka juzi.
We MÀTAGA,
Hawawezi kwenda mahakamani,mmlaka iliyowapeleka Bungeni haipo,vinginevyo itabidi Ndugai,Mahera na kaijage wakasimame mahakamani,kuonyesha Dispatch ya fomu ya majina ya kina mdee yalivyopokelewa.
Umuulize ZZK aliishia wapi na mahakama .... hao covid-19 siyo wanachadema tena ... period ... mahakama haiwezi kuwarudishia uanachama
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Hao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.
Hao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.
Ujinga.Waombe radhi kwa nani?
Mchakato wote ulikuwa wa kihuni inabidi mchakato uanze upya kuwasikiliza kuanzia kamati kuu.
Kwahiyo wakitumikia ubunge miaka 5 ndiyo watarudishiwa uanachama wa chadema ... nyie mnafikiria ulafi wa ubunge ... walichofanya CDM ni kuwafuta uanachama ... hayo ya ubunge mtajua nyie na ccm isiyofuata katiba na sheria za nchiKesi itaunguruma taratibu hadi miezi ya Julsi 2025, na baada ya hapo bunge litavunjwa na wao watakuwa wanetumikia ubunge kwa miaka mitano!
Majina yalipelekwa na Chama.. hukuiona barua iliyosainiwa na katibu mkuu? Wale ni wabunge halali na mahakamani watashinda
Kwahiyo wakitumikia ubunge miaka 5 ndiyo watarudishiwa uanachama wa chadema ... nyie mnafikiria ulafi wa ubunge ... walichofanya CDM ni kuwafuta uanachama ... hayo ya ubunge mtajua nyie na ccm isiyofuata katiba na sheria za nchi
Kwahiyo wakitumikia ubunge miaka 5 ndiyo watarudishiwa uanachama wa chadema ... nyie mnafikiria ulafi wa ubunge ... walichofanya CDM ni kuwafuta uanachama ... hayo ya ubunge mtajua nyie na ccm isiyofuata katiba na sheria za nchi
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.