Mdee: Sina hizo bilioni 10 nilikuwa nafikisha ujumbe tu kwa Serikali

Hivi mkuu, hiyo laki 5 5 wanacheza kibati, au wanaweka ya nini?
 
B10 unadhani ni kalio kila mtu anaweza kupata
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Yule muhaya aliyesema pesa ya chai aje sasa hapa billion 10 mchezo nn
 
Hii nayo si sarakasi ya aina fulani jamani?
Kuna mtu alileta picha ya bunge kutoka kwa mchora viukaragosi maarufu iliyonichekeasha sana. Ngoja niitafute nitaiunganisha tena hapa.

Haya nimepitapa picha hiyo; ni hii hapa; inachekesha sana lakini ina ujumbe mzito kuhusu bunge letu

 
Wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA wanaleta utani Bungeni!
 
Ukielwa msemo kwamba wanawake uchumi wameukalia, huwezi kumshangaa kuwa na 10 bil.....mnaweza kutokea wote nyumba ya nyasi baada ya mwaka ukamkuta anasukuma viiieite wewe ukiendelea na sterling kiuno, hapo napo utashangaa?
Kuna picha moja ilimuonesha H akiwa mzuri kinoma nikamtamani nikasema huyu demu aisee Yesu na Maria si wanipe tu ila najua sikumuona mzuri peke yangu ila hata mazee ya kitengo ya sisiem na Makengeza pia atakuwa ameona H pisi kali !

ila nikajiuliza Halima si anakunywa pombe kali yule au? vipi ile sauti kama ya konyagi au? baadae nikasema itakuwa nimependa pesa zake za ubunge si yeye!!

Huyu binti wa mjini asitufanye wajinga atuambie hizo 10B vepe!! hakuna utani hapa anazo mrembo Halima manake ubunge wenyewe wa mchongo walipewa tu na Mwendazake kuiaminisha dunia kuwa bungeni kuna upinzani kumbe wazungu wameliwa! !
 
Quinine with all due respect Halima hana hadhi ya kuitwa mbunge[emoji1545]
 
Wewe leo ndiyo kumtemtea Halima😅😅
 
Kuna jamaa humu alikuwa anadai ety 10bn sio hela kubwa.....yaani wanajf kwa sifa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…