jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kwa hiyo sasa takukuru waendelee na kazi ya kuzichunguza hizo B10 za Halima au wapotezee!!?Hata mlevi anaongea ukweli, pombe zikiisha kichwani anakataa,
Siamini kwa jinsi Halima yuko smat kichwani angeongea vitu kama hivyo,
Katoa siri anjistukia
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app