Kwa hiyo sasa takukuru waendelee na kazi ya kuzichunguza hizo B10 za Halima au wapotezee!!?Hata mlevi anaongea ukweli, pombe zikiisha kichwani anakataa,
Siamini kwa jinsi Halima yuko smat kichwani angeongea vitu kama hivyo,
Katoa siri anjistukia
Watanzania hatukatai Mtu kua tajiri, lakini angalia utajiri wako usitokane na kudhulumu Mali za Umma,au Watu binafsi, tafuteni utajiri wa halali! Japokua kwa Africa ni ngumu sana kutajirika ki halali, Matajiri wengi lazima waibe au wadhulumu wengine ndiyo watajirike!!!Mambo mengine tuwe tunayapotezea tu jamani,tabia zetu watanzania zinaakisi tabia za kijamaa ambazo tulirithi kutoka awamu ya kwanza na hii ipo kwenyw damu haitoki,ninachomaanisha ni kwamba hizi tabia za nongwa nongwa kwa walionazo ni tabia ambazo zinatokana na sera ya ujamaa kwamba kumiliki ukwasi ni evil either kwa wanasiasa,watumishi or anyone else!!!..Nchi za watu wanaojielewa huwezi kukuta mijadala kama hii hasa kwenye kipindi hiki ambacho Capitalism imeota mizizi mirefu sana
Hakuvaa taiti ndio maana kaipiga ya namna hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii nayo si sarakasi ya aina fulani jamani?
Utani na Sarakasi !! Au ??!Kwahiyo analeta utani bungeni? Yaani anatumia kodi zetu kufanya utani bungeni?
Umegonga msumari kwenye kidonda !! Ongezea na ukwepaji wa Kodi !!Watanzania hatukatai Mtu kua tajiri, lakini angalia utajiri wako usitokane na kudhulumu Mali za Umma,au Watu binafsi, tafuteni utajiri wa halali! Japokua kwa Africa ni ngumu sana kutajirika ki halali, Matajiri wengi lazima waibe au wadhulumu wengine ndiyo watajirike!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Yaani analeta utani bungeni....!? Kuna kila dalili kuwa Spika wa safari hii haheshimiwi.Hoja ya mbunge wa viti Maalumu Halima Mdee kuhusu Sh10 bilioni imeendelea kutikisa katika mitandao ya kijamii wengi wakihoji alipata wapi kiasi hicho.
Hata hivyo jana Mdee alizungumzia jambo hilo na kukanusha kuwa hana kiasi hicho kwenye akaunti yake bali amesema kwa maana ya kufikisha ujumbe kwa Serikali.
“Ni kweli nilisema, lakini kwa namna nyingine watu wasingenielewa bali nilikuwa natumia njia hiyo kufikisha ujumbe kwa Serikali, hivi katika usawa huu mtu uwe na kiasi hicho si mambo yatakuwa mazuri sana, ule ulikuwa utani,” alisema Mdee akiwa nje ya ukumbi wa bunge.
Kuna siku nilimsikiliza Catherine Ruge anaelezea jinsi alivyokuwa disappoibted alivyoingia bungeni mara ya kwanza.Kuna mtu alileta picha ya bunge kutoka kwa mchora viukaragosi maarufu iliyonichekeasha sana. Ngoja niitafute nitaiunganisha tena hapa.
Haya nimepitapa picha hiyo; ni hii hapa; inachekesha sana lakini ina ujumbe mzito kuhusu bunge letu
View attachment 2241679