King Leon 1
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 245
- 342
Nafikiri umeanza kufuatilia soka miaka ya karibuni au huna taarifa sahihi na unachokiongea mzee. Basi Ngoja nikupe taarifa sahihi .Fly Emirates amewai kuwa mdhamini mkuu wa Chelsea na Arsenal pale EPL Kwa wakati mmoja. Pia club zifuatazo ndio zinadhaminiwa na fly Emirates Kwasasa na zinakutana mara nyingi tuFly emirates anadhamini timu moja kwenye ligi ,kama madrid tu kwenye ligi yao
Ficha ujinga wako. Babra hakushinda kuizuia GSM kudhamini ligi nzima, alishinda Simba isiweke nembo za gsm kwenye matambala yake. Kwa kuwa gsm alitaka timu zote zimtangaze simba ikagoma, hivyo deal likafa maana haitakuwa ligi tena.GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Kazidhamini wewe basi; unataka zisipate mdhamini ili iweje.GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
1. GSM siyo main club sponsor lakini ni sponsor wa Yanga. Main club sponsor anapewa eneo kubwa kujitangaza, ni SPORTPESAGSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Kuanzia lini GSM anaimiliki yanga?Hii ya GSM ambaye ni miongoni mwa wamiliki wa YANGA Kudhamini timu NYENGINE saba kupitia wanasheria wangu nalipeleka. FIFA Ili haki itendeke na majibu mtayapata nyie uto.
Wewe jamaa wewe. Unawakata stimu wenzako aisee!GSM kudhamimi Vilabu vingine NBC Premier League kuna Uhusiano upi wa Kiufundi kwa Simba SC yangu iliyo mbovu?
Hoja yako inaweza kuwa valid kwa kuiangalia kinadharia ingawa ukija kimatendo hoja yako sio sahihi. Ningekuelewa iwapo hizo timu zinazodhaminiwa na GSM hazitoi upinzani kwa Yanga. Mathalan, ligi ya 2023/2024, timu za Coastal na Namungo (zina udhamini wa GSM) zilitoa upinzani mkubwa sana kwenye michezo yao na Yanga. Wakati huo timu ambazo hazidhaminiwi na GSM mfano KMC na Simba zilibugizwa magoli mengi na Yanga (mechi moja goli 5). Hatua ya udhamini tuliyofikia tuliililia kwa muda mrefu. Hivyo, ni muhimu kuendelea kuwatia moyo wadhamini waliopo na kuwaomba wengine waingie kudhamini timu zetu. Hii itatusaidia kuwa na timu imara katika mashindano ya ndani ya nchi na kimataifa.Yanga bwana, ukiigusa tu timu yao wanakuja na utetezi wowote ule ila mradi tu wametikiza wajibu wao kuilinda na kuitetea katiba yao. Sasa eti utetezi wenu mnasema GSM siyo mdhamini wala mmiliki, ila mnayemuimba kila siku ni GSM. Kwa nini hamumuimbi anayewapa pesa nyingi zaidi? Lini umewahi kuona Yanga wakiimba SportPesa! SportPesa!
Mifano ya AZAM na M-BET wala haifanani na hoja kuhusu GSM. Tena mnapoitaja AZAM kama mfano wenu ndiyo mnajisnitch wenyewe.
GSM anadhamini timu zaidi ya 7 halafu anasema Yanga Bingwa. We hauogopi?Hoja yako inaweza kuwa valid kwa kuiangalia kinadharia ingawa ukija kimatendo hoja yako sio sahihi. Ningekuelewa iwapo hizo timu zinazodhaminiwa na GSM hazitoi upinzani kwa Yanga. Mathalan, ligi ya 2023/2024, timu za Coastal na Namungo (zina udhamini wa GSM) zilitoa upinzani mkubwa sana kwenye michezo yao na Yanga. Wakati huo timu ambazo hazidhaminiwi na GSM mfano KMC na Simba zilibugizwa magoli mengi na Yanga (mechi moja goli 5). Hatua ya udhamini tuliyofikia tuliililia kwa muda mrefu. Hivyo, ni muhimu kuendelea kuwatia moyo wadhamini waliopo na kuwaomba wengine waingie kudhamini timu zetu. Hii itatusaidia kuwa na timu imara katika mashindano ya ndani ya nchi na kimataifa.
GENTAMYCINE ni mwana Simba SC ambaye ninajitambua na huwa sipendi UNAFIKI na UWONGO wakiumia Shauri zao.Wewe jamaa wewe. Unawakata stimu wenzako aisee!
Sasa mlikua mna muandama Mangungu kwa kosa gani kama shida ni udhamini wa GSM?GSM anadhamini timu zaidi ya 7 halafu anasema Yanga Bingwa. We hauogopi?
Ha ha ha ha ulitaka aweke hela Yanga halafu aseme simba bingwa?GSM anadhamini timu zaidi ya 7 halafu anasema Yanga Bingwa. We hauogopi?
GSM NI TAPELI LENGO NI KUIKOMOA SIMBA WANA KISASI CHA MANJI ALICHA
Madhamini mkuu wa Yanga ni Sportspesa sio GSMGSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Mifano uliyoleta tofauti kabisa... Iko ivi haitakiwi mdhamini/mmiliki mmoja kuwa kwenye timu zaidi ya moja kwenye loko ligi(ligi ya ndani), na hii kitu unaipata Tanzania pekee.Mkuu ili sio tatizo, ni suala lipo linaruhusiwa katika soka kwa upande wa matangazo na udhamini. Ata ukiangalia ulaya kwa mfano Kampuni ya Redbull inamiliki na kudhamini clubs zaidi ya 4 ,Fly emirates inadhamini clubs zaidi ya 5 ,Etihad pia zaidi ya clubs 3 na zote izi uwa zinakutana sometimes kwenye michuano mbalimbali .Na ata kuna kipindi fulani Sportpesa ilidhamini klabu zaidi ya 4apa Tanzania Yanga,Simba,Namungo,Singida united pia. Kampuni za Mo pia ziliwai dhamini klabu mbili kwa wakati mmoja yaani Simba na African luon . Suala la msingi ni je zinavunja sheria gani ya mpira ?
Nimekuletea mifano ya ligi na nchi nyingine unasema sio mifano sahihi afu mwisho unamaliza hii iko Tanzania pekee !,Nakosa namna ya kukupa elimu aseeh.Basi kama unaona ni Tanzania pekee basi wewe hujui au hufuatilii mpira kabisa maana ata nikikuambia ulete kifungu cha sheria iyo utaweza kweli. Fuatilia mpira sio mapenzi ya timuMifano uliyoleta tofauti kabisa... Iko ivi haitakiwi mdhamini/mmiliki mmoja kuwa kwenye timu zaidi ya moja kwenye loko ligi(ligi ya ndani), na hii kitu unaipata Tanzania pekee.
Kwahiyo GSM ni nani hapo Yanga?1. GSM siyo mmiliki wa Yanga
2. GSM sio mdhamini mkuu wa Yanga. Mdhamini mkuu wa Yanga ni Sportpesa.
Huna hoja ndugu mtoa mada
Mifano uliyoleta tofauti kabisa... Iko ivi haitakiwi mdhamini/mmiliki mmoja kuwa kwenye timu zaidi ya moja kwenye loko ligi(ligi ya ndani), na hii kitu unaipata Tanzania pekee.