GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Ficha ujinga wako. Babra hakushinda kuizuia GSM kudhamini ligi nzima, alishinda Simba isiweke nembo za gsm kwenye matambala yake. Kwa kuwa gsm alitaka timu zote zimtangaze simba ikagoma, hivyo deal likafa maana haitakuwa ligi tena.
Sasa pata shule hapa
Tuhuma zilizopo, kwamba hakuna fair competition katika ligi ya Tanzania sababu GSM anafadhili (sponsors) clubs nyingi tanzania hazina mashiko, ni kowango cha juu cha ujinga. Zinatajwa:-
1. Yanga
2. Coastal
3. Singida
4. Pamba
5. Namungo.
6.
Haya tunaijibu kwa kuiangalia Umbro ndani ya EPL ligi kubwa duniani.
Umbro sponsored Teams in EPL
1. West Ham United.
2. Ipswich Town FC.
3. Brentford FC.
4. Hearts FC.
5. AFC Bournemouth.
6. Huddersfield Town.
7. Luton Town.
Kwa majibu haya, tuendelee na mjadala au tuufunge?
Simba wekezeni kwa kusajili wachezaji wazuri. Hoja mnazoleta ni utoto mtupu na ishara ya kushindwa mashindano. Mlizoea kuzifunga timu ambazo hazina hata nauli, wamepata wafadhili, wanasafiri, wanalala hotel, wanakula, wanakunywa, wanalipa mishahara, halafu nyie mnatamani wapokonywe ufadhili huo warudi nyuma?
Kama mnadhani ni rahisi, mwambieni Mo aaxhe kutoa mikopo umiza afadhili timu zote zilizobaki halafu mje tushindane