Backagain Afterages
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 151
- 118
Si kosa la jinai bali ni kuhadaa walimwengu na kumchezea munguKushindwa kufufua watu ni kosa la jinai?
Kama nnavyokujua wewe m.bakaji mtaa wa kwa alimaua hahahaa si mnajifanya mnajua watu....Kuna mtu anamjua kasema hivi "boya huyo namjua alikuwa katibu wa CCM Nzega na sio ndugu wa Gwajima, alihamishiwa Singida. Na alikuwa antembea na mke wa mtu anaitwa Mary.......!!!"
Nimeibuka tu mkuu, kwani kuna tatizo?... au na wewe ndiyo walewaleWewe umetoka wapi???
Labda nae kapita njia ileile ya p.christian.
Hahahahaha
Huyu Jamaa anaitwa Joshua Chiwanga nimesoma naye kwa nimjuavyo mimi wala hana undugu na Gwajima...Labda undugu wa kupewa ili ifanyike Press Conference ya kumtetea Gwajima.....
Hahahaha Joshua naona umekuwa mpunga ndugu yangu....Tukumbukane aisee!
mdogo wake ninayemfahamu kanisa lake liko Mwanza, ni mfupi kama yeye gwajima na kibichwa vilevile! huyu atakuwa ndugu yake wa karibu ila sio wa kuzaliwa naye.Ni kweli mdogo wake au sio kweli? Tuanzie hapa
Kiongozi wa umma anatakiwa kuwa safi. Hakuna porojo.Vyeti ni vya kwake, kasoma yeye, akuonyeshe wewe vyeti vyake? kama unapenda mabago ya kutangaza vyeti vyako tangaza wewe yeye vyakwake mamalaka iliyompa ajira inavijua na wakataka kuvihakiki tena watamjulisha na atawapelekea.
Sawa kabisa mku hoja ya msingi ni madawa ya kulevya na sio ujinga ila ungefafanua ujinga wetu ni upi au ule wa taifa kujingiza ktk ghalama kubwa ya kuhakiki vyeti vya wanyonge na kuacha bila kuhakiki vyeti vya akina Mr Daudi?Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
huyu sio mdogo wake japo anajina la GWAJIMA maana kama angekuwa ni ndg yake asingeweza kujitosa kutetea upuuzi anaoutetea. akitaka aeleweke vizuri angemuuliza bashite kwa nini hataki kuweka vyeti vyake wazi.Kwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
w
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Vyeti hoja. Umesahau kesi ya Kihiyo wa Temeke 1996/97. Lumumba wana kumbukumbu zoteVyeti si hoja, hoja iliopo mezani ni madawa ya kulevya-tuelekeze akili zetu kwenye madawa.
mkuu ushahidi wakati huo haukuwa timilifu na ndio maana aliweza kuwadanganya marais wetu. Sasa ushahidi upo wazi baada ya kukusanywa kwa muda mrefu ni lazima apelekwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wake.Alikuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni hamkuona kuwa alifoji vyeti?
akateuliwa kuwa mkuu wa mkoa hamkuona? hadi ameanza mapambano ya dawa za kulevya ndo mnaibuka?
Shame on you....
Magufuli acha kijana achape kazi.