Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Huyo mwenyewe kajiweka surname ya gwajima ili atetee ugali wake ndani ya chama subirini majibu kwa gwajima waukweli
 
VITU VYA KUZINGATIA;
1. Anaona katajwa kinyume na utaratibu au kaonewa aende mahakamani.
2. Mwenye vyeti feki aweke hapa ili tumuulize rais kwa nini kamteua mtu aliye na kosa la jinai.
3. Tuache kujinufaisha kwa kutumia sakata hili.
MNAO PAMBANANA NA VITA YA MADAWA YA KULEVYA HONGEZENI NGUVU ZAIDI ILI KUOKOA MAISHA YA VIJANA.

MAMBO MENGINE NI KELELE ZISIZO NA MSINGI.
Maneno mengi pumba tupu. Mwambie Daudi bashite atoe cheti
 
Kushindwa kufufua watu ni kosa la jinai?
Eti anatuhumiwa kushindwa kufufua watu, naona kijana kanunuliwa kama walivofanya kipindi cha uchaguzi kununua waganga njaa waje waseme wayatakayo kijani
 
Nataka niisihi hii serikari kama inaushaidi kweli gwajima anauza madawa akamatwe na afungwe bilakuangalia cheo chake.. Nakama mueshimiwa makonda hana vyeti halali nae nimtuhumiwa nae wizala ya elimu imushugulikie bila kuangalia cheo chake.. Lkn swala lamadawa lisiishie hapo
 
mimi nilidhani kaleta vyeti? kumbe wale wale tu wapiga-tantalila?
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Unaweza kukuta undugu wenyewe wa mbaaaaliiiiii,
Yaani huyu jamaa ni mtoto wa shangazi wa Mjomba wake mkwe wa dada mkubwa aliemuachia Ziwa mdogo mtu ambae ni Kaka mdogo wa mama mkubwa na Babu wa Mjomba wa Mkwe wa Mke wa Gwajima
 
Dah! huyu ndiye ndugu yake anayemfahamu in and out " hajawaki kufufua hata panya" ila waliokutana naye bongo ndio wanajifanya kumuamini. Kamrarua ile mbaya
Watanzania wapuuzi kweli kweli miaka nenda Gwajima anadai anafufua watu na watu nyumbu wanaamini . Utamwaminije mtu mwongo kama huyu . Gwajima atwambie uchungaji alisomea wapi ?
 
Hivi ni kweli gwajima hajawahi kufufua hata panya
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Ni kweli Bashite amefanya vizuri kwenye vita ya madawa ya kulevya and nobody who is in his right mind denies that, lakini tatizo la kuwa na vyeti feki liko pale pale.Ni lazima ajisafishe au ashuhulikiwe kama Watanzania wengine,he is not above the law.
 
Watanzania wapuuzi kweli kweli miaka nenda Gwajima anadai anafufua watu na watu nyumbu wanaamini . Utamwaminije mtu mwongo kama huyu . Gwajima atwambie uchungaji alisomea wapi ?
Ngugu yake wa damu kasema " HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA" lakini mamtu mpaka sadaka wanampelekea
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Askofu kamaliza tuhuma zinazomkabili. Lakini Albert bado. Tunataka na yeye sheria imuite imuhoji imuweke kizuizini ukweli ufahamike. Hatutaki siasa za mlengwa wa kushoto.
 
Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
Kufanya biashara ya madawa ya kulevya ni kosa la jinai sawa na kutumia cheti cha mtu au kufoji cheti kwanini sasa unataka tuache hili jinai la vyeti? Kwani kuna kosa gani vikienda sambamba? Acheni maneno wekeni vyeti
 
Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
Vita vya dawa za kulevya zinaendelea zinazofanywa na wahusika wateule wa mh. Rais.
Hakumuondolei Makonda kushughulikiwa kivyake ndo maana anapumzika SA. Huko wala hashughuliki na madawa.

Mchunguzeni
Watumishi wanaumia kwa hilo swala la vyeti feki kwani hawajapandishwa madaraja yao sababu ya watu kama makonda.
 
Dah! huyu ndiye ndugu yake anayemfahamu in and out " hajawaki kufufua hata panya" ila waliokutana naye bongo ndio wanajifanya kumuamini. Kamrarua ile mbaya
Wala usishangae maana ukarimu na mapenzi ya ukweli ni lugha ambayo hata hayawani huielewa.

Mbwa anaweza kuwa rafiki wa binadamu kwa lugha hizi za ukarimu na mapenzi ukweli ni binadamu gani anayeweza kuona hoja za askofu hazina mashiko. Maana zimesheni ukarimu na mapenzi ya kweli.
 
Back
Top Bottom