Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

vita ya madwa ya kulevya inasimamiwa na Kamishna Sian'ga na mpaka sasa amekamata wahalifu wengi tu kwa approach inayostahili.

Bashite aweke vyeti mezani hatutaki blah blah
Hebu nawe weka vyeti vyako hapa isikuwa unadai vyeti vya mwingine wakati wewe huna hata cheti cha madrasa.
 
Aaaaah! Kumbe ni mtoto wa baba yake mkubwa!!!! Hata hivyo ni ndugu hawa. Kwani hakuweza kwenda kumwona kaka yake wakyamaliza nyumbani kuliko anavyofanya hivi???? Mmmh mimi nimchome kaka yangu au dada yangu mbele ya kadamnasi????? Mmmmh!!!!
 
Ndugu wa Ngwajima anasema Ngwaji hajawai hata kufufua panya ndio aweze binadamu hahaha sasa misukule ina amini atafufua binadamu...
Ndio hoja mliyobaki nayo! Na hujui hao unaowaita misukule % kubwa mule kanisani ni kijani. Endelea kujitoa ufahamu.
 
Akuwekee atakutoa wapi sasa??? Weka namba ako ya simu hapa akupigie???

Hahaaa mnataka vyeti mnajificha nyuma ya keyboard nyambafuuyu
Hii ni mijadala huru mkuu kuitana nyambafuu sio kitu chema.

Majina ya wauza unga alitutajia kwenye simu?
 
Ha ha ha!!! Naona anamonea wivu ndugu yake!!! La kujiuliza ni ndugu yake kweli? Hebu tusubiri Bishop Gwajima atakavyomjibu jpili.
Mtu wa Mungu akiongozwa na Roho wa Hekima na Maarifa; Roho wa Utambuzi na Maono; Roho wa Ishara na Maajabu; Roho wa Nguvu na Uweza anaenda kutoa neno soon. Ole ni wao mamlaka za kuzimu!
 
Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
Watu wamekalia ujinga ujinga,ushabiki ushabiki.once utakapoingia kwenye janga la madawa wewe,ama mwanao,nduguyo au yeyote aliyekaribu yako ndo utaelewa.kwa sasa ngoja tukuache uendelee kushabiki hamna namna yakikukutaa utatuletea mrejesho hapa.refer to langa,nando,chidi benz,gwea,rayc,geez mabovu....

Daudi bashite i support you 100%.
Hakuna mtanzania mwingine atakaeweza kama wewe...

Nasema hivyo kwa sababu watanzania hawako tayari wauza sembe waguswe kwa jinsi yeyote
 
Haya maelezo yako yamekuja kipindi kibaya, utumike usitumike,iwe ridhaa yako isiwe yako, iwe vita, uwe urafiki wana dar es salaama tunataka BASHITE ATOE VYETI hizo njia za ujanja ujanja anazozitumia kumaliza hili soo hazimsaidii
 
Undugu wao ukoje?,
Wivu wa maendeleo na utofauti wa imani vimetawala hapo.
Mamlaka husika za Tanzania zitachukua hatua kwa mwanaCCM bila kuzishinikiza?
 
Mdogo wake hana jina? Ngoja tusubirie jpili ya mapigo. Undugu baba zao mashamba yalikuwa jirani.
 
Hii ni mijadala huru mkuu kuitana nyambafuu sio kitu chema.

Majina ya wauza unga alitutajia kwenye simu?
Wewe ni muajiri wake kutaka akupatie vyeti vyake??? Wewe mbona vya kwako hujaviweka hapa hadharani???
 
Umenikumbusha STAR TV waliokota mtu wakati wa uchaguzi wakaandika na kutangaza kuwa mtoto wa Kingunge yuko kinyume na uamuzi wa baba yake kuingia CDM siku 3 kabla ya uchaguzi cha ajabu kesho yake familia ilikanusha kwanza Kingunge ana mtoto mmoja na anajulikana.
 
yeye nae atueleze nae yupo mbele ya nani.kama ni ndugu yame akamshauri huko huko kunako undugu.
kazi yetu kwa sasa ni kushughulikia habari za vyeti vya kugushi vya mgushi vyeti.
 
Nilishapita, ila nachungulia tu tena na kuwasalimu


Hahahahaaaaaaaaaaaa

Na vya kwenda kolo.... inajulikana yote yale uongo aaaaagh

Makonda oyeeeee
 
Hongera wewe ulieko mbele ya Keyboard, au macho yangu maana sioni verified user.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…