Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga humsililiza gwajimaDah! huyu ndiye ndugu yake anayemfahamu in and out " hajawaki kufufua hata panya" ila waliokutana naye bongo ndio wanajifanya kumuamini. Kamrarua ile mbaya
katumwa halafu kakurupuka hajui aanze wapiKushindwa kufufua watu ni kosa la jinai?
Kwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Kweli Picha limeisha stering yuko ICU (intensive care unit )huyu ni baba yake mdogo Bashite kaja wakati picha limeisha.
Hivi unafikiri kuna mtu ana haja ya kujua mungu wa Gwajima anaitwa nani? Watu kiu yao ni kujua RC wa DSM anaitwa nani. Mungu wa Gwajima kama anaitwa Amadiora au Ikwechuku is up to him. Unapoteza muda na maandishi meeeeeeengi yasiyo na msomajikatika vitabu vyote vya kikristo ambavyo vimeandika kuwa unapotoa majini kwa mgonjwa sharti uyatume kwa binadamu mwenzako hakuna hicho kitu
Hakuna hata sehemu moja ya maandiko yanayosema hivyo nadhani huyu anajua anatumia nguvu za namna gani nadhani amezitoa kule Nigeria
Hata Yesu Kristo alipokuwa anayatoa majini aliyaamuru kwenda kuwaingilia nguruwe na sio binadamu wengine
Tumeona alichofanya Gwajima nikiwa kama mkatoriki safi nampinga hadharani kwa alichofanya
Hakuna ukristo unaofundisha huo upumbavu nina imani pia hata katika uislamu hakuna mafundisho ya namna hii
Hakuna nabii wa namna hii na hawa ndio wale manabii ambao Yesu Kristo alisema watakuja
Na nabii wa mwisho kuja hapa duniani ni Yesu Kristo hawa wengine wote ni waganga njaa tu wameamua kugeuza dini kuwa biashara
Niliwahi kuhoji uko nyuma kuwa hivi Mungu wa Gwajima ni yupi? Ni huyu huyu Mungu wa Isaka na Yakobo? Ndio huyu huyu tunaemuomba sisi kila siku?
Nadhani sasa watu wamejua rangi halisi ya huyu anayejiita askofu
Hakuna askofu wa namna hii ambaye anaamuru majini yaende kwa mtu mwingine kisa tu wana ugomvi wao binafsi
Huyu si askofu huyu ni Mganga wa Kienyeji na kumuita Gwajima askofu ni kuwatukana maaskofu wote
Ni wakati sasa wa serikali kuyachunguza haya makanisa
Wengine wana vibali vya kutoa huduma lakini ni waganga wa kienyeji, Huyu Gwajima ni mganga wa kienyeji au ni mchawi
Nikiwa kama mkristo safi nalaani kitendo alichofanya huyu askofu feki
Ndimi
RAPHAEL LUKINDO
0765499321
Kushindwa kufufua watu ni kosa la jinai?
Eti sisi watanzania, hivi unajielewa au unaropoka hovyo hovyo. Labda watanzania ww na mme wako.Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
Kama umempa pesa ili afufue mtu wako basi umeliwa na swala la kufufua au kutokufufua sio kosa kisheria ila ukja kwenye upande wa vyeti Bashite aweke vyeti mezanTAPELI " HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA" KAMA WEWE LABDA UNAJUA ANGALAU MBU ALIYOFUFUA ACHILIA MBALI PANYA TUAMBIE.