Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu


Hii ni kweli. Amenikera sana alipodanganya eti baba mkwe wake anataka akakae kwake burukenge hili

Kamwe baba wa kikurya haingii kwenye nyumba ya mkwe wake KAMWEEE! achilia mbali eti akakae kabisa

Bora hili shoga la MOSHI huko lingesingizia hao wadada likaishia hapo tungejifanya kulipa bega la kujilizia ila because ya kuwadhalilisha wazee wetu wanaokuza ma-IGP, CDF, CAG, AG etc limedhihirisha lenyewe ndo gone bad beyond repairable... Si linalelewa kwenye nyumba ya dada zetu ngoja wakalitoe. Gay is yet to be legalised in Tanzania.

You SPINELESS DOG Nimekataa get that in addition to what our young sisy told you. you are a complete Moron kabisa

Watu wajue jamani dada yako/mtoto wako akiolewa waache waishi kwa amani,et baba mtu unataka ukaishi kwa mkwe hivi waswahili tupoje??
Kila mtu akae kwake jamani ndugu huwa wanavuja miji za watoto wao
 
Kamanda kuwa makini sana na uhai wako, baba yake akifika hapo jeshi litakuwa limekamilika hivyo maisha yako yatakuwa mikononi mwao, so jiandae na lolote hasa kuuwawa kimya kimya
 
Kamanda kuwa makini sana na uhai wako, baba yake akifika hapo jeshi litakuwa limekamilika hivyo maisha yako yatakuwa mikononi mwao, so jiandae na lolote hasa kuuwawa kimya kimya
Toka lini mkurya akawa muuwaji esp kwenye senseless stuffs kama ya hili mbweha?

Dada zenu wa machame nasikia ndo wanafanya ivyo linapokuja suala la mali so msikalili sawa?!

Mali yenyewe ni ya kwao hao wakurya so why waliuwe hili kubwajinga? They are just going to get rid of him but not through death
 
Acha dharau mura Kama shemej hawezi kuongoza family acha Dada aongoze
 
Duuuu Kuwa mwanaume ni mtihani. Ila na wewe umekuwa ndezi kweli, mji ni wako hata km ulijenga na dada yake wewe bado utabakia kichwa Cha familia.

Ushauri fukuza wote wakajifunze adabu nyumbani kwao hata kabla baba Yao hajaja. Huoni km anakunanga anaposema wewe huna Cha kupoteza maana baba Yako alishakufa. Pili una mke mjinga (samahani kutumia neno hilo ila kwa uliyotwambia linamfaa). Haiwezekani mambo ya ndani amsimulie mtu wa nje hata km ni mdogo wake.

Mwisho, fanya juu chini umgonge huyo mdogo wake (wewe ni mtu mzima umenielewa) hata kwa kutumia pesa. Hapo heshima itakuwepo, na ikiwezekana na yeye uweke ndani. Yani anakutamkia kabisa Kuwa anakudharau alafu unaona kawaida hiyo.

Narudia kula mzigo huo, huyo anakutaka. Utanishukuru siku moja
 
Kuna swali mtoa mada ameulizwa zaidi ya mara 3 na watoa comment ila hajaweza kulijibu na hiyo nahisi ndo sababu.

Umeulizwa, uliwahi kumtongoza huyo shemejiiiii????

Wanauliza ila unajaribu kujibu maswali vipengele b na c ila kipengere a unakiruka sana.

Kutokana na hilo naamini asilimia 90 ulikatongoza lkn jitahid isiwe sababu ya kudharaulika kiasi hicho mr,duh unatia aibu sana aisee.!
 
Asante kaka kwa ushauri...
Na nime amini mauwaji kwenye mausiano hayawezi isha.Kwa Jinsi nilivyo sota juu ya hizi mali alafu leo wanaongea kirahisi hivi hapana asee nasema tena hapanaaa.
Kataa mkuu kama jina lako lilivyo.
 
Mkuu samahani it reads to me like mwenye mali hapo ni mke, hyo mali maybe imetoka kwa familia yao so hata uyo dogo anahesabia mali ni yakwao ndo mana anajiamini. Haiwezekani uwe bread winner af wakuletee ujuaji never
 
Ningechapa vibao huyo dogo na angeondoka muda huohuo.. sema bro inaonekana mkeo anakudharau pia ndo maana dogo kawa comfortable.. mkeo keshamlisha sumu dogo
 
Una robo ya uvumilivu Sana mkuu. Na busara izidi kukutawala maana wengi wetu hapa kwenye forum huenda tungechukua maamuzi muda huo huo.
 
Niko tofauti kidogo na wengi humu kuhusu kwenye kumpiga huyo shemeji yako na sababu ni vile najifahamu so najua mwisho hautakuwa mzuri. So huwa sinyanyui kirahisi mkono.

Kitu ambacho ningefanya ni kwanza nampigia baba mkwe hapo hapo kumwambia hakuna safari abaki huko, wanae wanaenda huko huko. Sababu ataambiwa na wanae

Kisha namwambia wife leo utalala na mdogo wako chumba anacholala huku mnajiandaa kwa safari kesho mnaenda kwenu na wife namwambia baki kwenu hadi nikuite.

Kesho mapema alfajiri kabisa nawapeleka stand warudi kwao kwanza.

Hivi chief huo usiku utakuta chumbani bado mkeo nae alijifanya kakununia na ukaanza kumbembeleza.

Uko vitani chief, yaliyosemwa yamemaanishwa so man up or it's 6 feet under.
 
Yaani hadi wanawake humu wanauchungu kwa namna ulivyotendewa na wameonesha msimamo na kukerwa na jambo hilo. Msimamo ambao chief umeshindwa kuwa nao kama mwanaume.

Man up chief, man up.
 
Pole mkuu, hao ni mashetani sio watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…