Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Nilikuwa na mpango wa kujenga jumba kubwa ili mimi na familia yangu tujiachie.
Ile nimeona, kujenga jumba kubwa ni kualika watu wasio takiwa waje kuishi kwako na kukuletea kadhia.
Sasa mwakani naanza kujenga nyumba yenye vyumba viwili tu. Ndugu watakao kuja kuhamia, watalala sebuleni au jikoni.

Jenga vyumba vitatu, cha kwako, watoto wa kiume na cha wa kike.

Halafu jenga nyigine mbali kidogo pangisha acha chumba kimoja cha emergency. Kumbuka Kuna leo na kesho utahitaji msaada au wewe kutoa msaada utatumia chumba cha hiyo nyuma, angalizo usijenge karibu na kwako.
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Mrejesho aisee,
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Hao wanaweza kukuua ..baba mzazi ,, mara shemeji kwako wanafata nn maana ya kuoa mwanamke ataachana na wazazi wake nae ataambatana na mumewe ,,, sasa iweje wazazi wanataka kuja tena,

Huyo nahisi mpe talaka nusu sijui inaitwaje ile eda sijui akampumzike kwao maana hao watataka gawana mali mpumzishe kwanza


Yalishanikuta dada mtu na mdogo mtu kunisema kwa lugha yangu et nisielewe natoa jina la mtoto wanaongea ki lugha face impression inaonesha dada anakataa jina wamekuja na jina lao
Nilimtupilia mbali

Haya mambo huwa nakataa kila siku,, nishawahi onabaadhi ya makabila watoto kwenda kwa ndugu zao wakat wa likizo ,au kujiamulia tu, nashukuru nililelewa kwenye mazingira ya kawaida na sikwenda kwa ndugu nilipambana na wazazi wangu maisha hayo hayo hadi tukafanikiwa kuwa na maisha mazuri , hivo huwa nasema nikikuoa ukae ukijua kama ulivokuwa unaishi kwa ndugu mara unaenda mwezi huu kwa mjomba, mwezi huu kwa ma mdogo me sintataka , nakuoa ili tuishi na watoto wetu kama hatujapata tutaishi wawili tu,maswala ya wadogo zako wa kike wa kiume wakubwa hawafanyi kazi me naenda kazini wanashinda kwenye tv miguu juu nyumbani kwangu sitaki waende huko walipozaliwa


Ndugu wakishaona kuna chumba kiko wazi basi wanakuja bila taarifa unafungua geti mtu yuko na ma bag et nimefunga chuo sasa sitaki kwenda kijijin kwa mama sasa si ndo kwenu huko unakaa mjini kwa jasho la watu shenzi kabisa ,

Nililelewa kwenye ile hali kwamba mgeni yoyote atoe taarifa siku kadhaa kwanza na lengo lake la safari ni lipi sio unakuja ghafla et kesho nakuja , inabd uulize kufanyaje? Et kusalimia 😁 si huwa unanisalimia kwenye simu inatosha
 

.... Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.
mwambie mkeo unatekeleza na hili uone reaction yake
 
Jenga vyumba vitatu, cha kwako, watoto wa kiume na cha wa kike.
Halafu jenga nyigine mbali kidogo pangisha acha chumba kimoja cha emergency. Kumbuka Kuna leo na kesho utahitaji msaada au wewe kutoa msaada utatumia chumba cha hiyo nyuma, angalizo usijenge karibu na kwako.
Wabongo unawajua😁 me nina vyumba viwili ndani ya fensi situmii nimekiweka tu wala sitaki kero ya mpangaji, kimoja kinafaa kuishi kabisa nimefanya jiko kingne naweza Lia chakula nje sasa mtu akija mara ooh si unipe chumba , kinakaa hakina kazi na mm nalipa kodi ,🤔 inabd umuulize kwan unataka kuishi bure🤔
 
Mdogo ungemfukuza kwa dharau ingia ndani kabla hasira hazijapoa toa nguo zake tupa nje funga mlango na kofi mbili nzito mwambie rudi kwenu ingia ndanii chapa kofi mke 1 kofi up to 4 kofi i swear mdogo mtu hatarudi ..lkn anakujibu hivo kesho dining anapaka mkate blueband anakupandisha na kukushusha kmmke taua mtu
Kaka amentukana asee jana hiyo usiku...
Leo kila nikitaka andika huu uzi nashindwa asee.

Nawaza mpaka mushipa ya dam na hisi inataka kupasuka.
 
Hao wanaweza kukuua ..baba mzazi ,, mara shemeji kwako wanafata nn maana ya kuoa mwanamke ataachana na wazazi wake nae ataambatana na mumewe ,,, sasa iweje wazazi wanataka kuja tena,

Huyo nahisi mpe talaka nusu sijui inaitwaje ile eda sijui akampumzike kwao maana hao watataka gawana mali mpumzishe kwanza


Yalishanikuta dada mtu na mdogo mtu kunisema kwa lugha yangu et nisielewe natoa jina la mtoto wanaongea ki lugha face impression inaonesha dada anakataa jina wamekuja na jina lao
Nilimtupilia mbali




Haya mambo huwa nakataa kila siku,, nishawahi onabaadhi ya makabila watoto kwenda kwa ndugu zao wakat wa likizo ,au kujiamulia tu, nashukuru nililelewa kwenye mazingira ya kawaida na sikwenda kwa ndugu nilipambana na wazazi wangu maisha hayo hayo hadi tukafanikiwa kuwa na maisha mazuri , hivo huwa nasema nikikuoa ukae ukijua kama ulivokuwa unaishi kwa ndugu mara unaenda mwezi huu kwa mjomba, mwezi huu kwa ma mdogo me sintataka , nakuoa ili tuishi na watoto wetu kama hatujapata tutaishi wawili tu,maswala ya wadogo zako wa kike wa kiume wakubwa hawafanyi kazi me naenda kazini wanashinda kwenye tv miguu juu nyumbani kwangu sitaki waende huko walipozaliwa


Ndugu wakishaona kuna chumba kiko wazi basi wanakuja bila taarifa unafungua geti mtu yuko na ma bag et nimefunga chuo sasa sitaki kwenda kijijin kwa mama sasa si ndo kwenu huko unakaa mjini kwa jasho la watu shenzi kabisa ,

Nililelewa kwenye ile hali kwamba mgeni yoyote atoe taarifa siku kadhaa kwanza na lengo lake la safari ni lipi sio unakuja ghafla et kesho nakuja , inabd uulize kufanyaje? Et kusalimia 😁 si huwa unanisalimia kwenye simu inatosha
Mimi napenda hii staili...hivi utasafirije mpaka unafika hujanipa taarifa.

Mume wangu anaendekeza hiyo hali ila nilimuelekeza in a hard way.watu wengine wana tabia mbovu sana
Mtu anakuja kwako 30yrs hana kazi wala hana shuhuli unamuacha na watoto wako wadogo na hausg
Siku nzima
Ndo mambo ya kusodonize watoto na kufanya ujinga na wasichana wa kazi yanaanzia hapo.
 
Wanaume wengi wakioa au wakiwa na mahusiano serious huwa wanakua mateja sijui.

Hawanaga maamuzi.

Kama nitafanikiwa kujenga nyumba yangu na nikaoa, ndugu wakae mbali na mimi sintojipendekeza kwao, nitasaidia wakiwa huko kwao. Ndugu ndio huharibu ndoa.
 
Mimi napenda hii staili...hivi utasafirije mpaka unafika hujanipa taarifa.

Mume wangu anaendekeza hiyo hali ila nilimuelekeza in a hard way.watu wengine wana tabia mbovu sana
Mtu anakuja kwako 30yrs hana kazi wala hana shuhuli unamuacha na watoto wako wadogo na hausg
Siku nzima
Ndo mambo ya kusodonize watoto na kufanya ujinga na wasichana wa kazi yanaanzia hapo.
Imagine mwanamke ana mimba ya miezi miwili anataka mwezi wa tatu dada yake ambae ni jobless aje tuishi nae

(Ki umri yeye na dada wake wote ni wadogo kwangu)

Sasa unamuuliza anakuja fanya nini

Nashukuru na mimba ilitoka kipindi hio bado najitafuta nina room double hivi kweli tumepanga double dada mtu wote ni rika moja tu yeye awe ndo analala sebleni nikienda job anaingia chumbani kwetu hivi hapo unaweza ficha Siri kweli vi nguo vyako hata vya ndani shemeji si anaviona🤔 kile kabila hapana asee nashukuru yalipita ,, maana hii nyumba wangefanya hostel
 
Kwa hiyo coincidence huna haja ya kuomba ushauri hata kwa wazee wa busara.

Mwanamke anapowekwa ndani tena kwa ridhaa ya wazazi wake means kauza sehemu KUBWA ya uhuru wake plus wazazi wake nao wametoa sehemu kuwa ya maamuzi juu ya binti yao na kukukabidhi wewe.

Lazima uwe mkakamavu kwenye familia

Usikubali unyonge kuanzia ukweni mpka ndani ya familia yako.

Huyo shemeji hapo hapo ndio ingekua red card yake.

Na mzee akija kaa nae umwambie kwako utamaduni wako nyumbani hawezi mwanamke kufanya maamuzi bila baraka zako kama mzee mtambuzi ataelewa ila akiwa mpumbavu atavuta mdomo.

Haya yote hakikisha hauishi au hutegemei nyumba ya wife au kipato chake kinakuweka mjini huu ushauri si mzuri kwako.

Kuwa aggressive ni LAZIMA
Kama anakaa nyumba waliyohifadhiwa na wakwe unataka ujasiri huo autoe wapi?
 
Am
Lugha enyewe haieleweki.
Andika basi kingereza tujue umesoma eeh...?
Ulicho andika kama mkorogo wa malaya wa Chuo.
Amekueleza ukweli; hao sio wakurya. mzee Mkurya hata siku moja hawezi kwenda kukaa kwa mkwe wake.
Sasa hivi unajifanya kutukana wanaume wenzako huko kitoto Cha kime kimekubua nguo.

Hivi umejiuliza kwanini shemeji yako alisema amesha kuzarau kitambo tu?
Inaonekana mkeo kashamwambia wewe ni kimoja chali.
 
Duu we jamaa una moyo mkubwa sana mkeo hadi kafikia hatua hiyo inawezekana una mnyenyekea Sana, onesha uanaume wako katika hilo chukua maamuzi magumu kwa mustakabali wa maisha yenu
 
Fukuza huyo mbwa na mstopishe huyo Mzee asije ili heshima iwepo kwenye nyumba yako. Narudia tena fukuza huyo mdogo mtu akalime mtama na mihogo huko kijijini kwao.

Fukuza mbuzi huyo...hana manufaa,kisha hana shukran.
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
 
Halafu bado mijitu utaisikia "hivi chige utaoa lini wakati umri umeshaenda"?! STUPID. Huyo mama yangu mzazi tu hakuwahi kuniuliza nitaoa lini!!

Sipendi stress maishani mwangu... NEVER EVER!!

Na ingawaje wanawake wanafahamika kwa kutokuwa na kifua lakini hapa JF ni wanaume ndo wanaongoza kwa kulia lia.

Na nilishawahi kuhoji hapa kwamba inakuwaje wanaume ndo wanaongoza kulia lia hapa JF... hadi kesho sijapata jibu, and seems like jibu ni "oa kama hujapata jibu"!
 
Kaka hao ni wajita Amna mkurya wa hivyo aisee. Hizo ni tabia za kijita ndo baba mkwe anaweza kwenda kwa binti yake akakaa ata mwaka lakini sio mkurya

Sema nini na wajita ninao wajua Mimi wanatabia ya kuroga wanaume sio mkurya

Sas fanya hivi mkalishe mkeo umuulize nilichokisikia kutoka kwa ndugu yako ni sahihi na wew unaitaji iwe Ivo tena ongea nae kwa upole tu

Akikujibu ndio basi usipoteze mda achana nae, akikujibu hapana mpige marufuku kukanyaga dukani tena ikibidi ilo duka uza si umesema wew ni mwajiliwa uqezi kukuosa pesa ya matumizi nyumbn. Yeyeabaki kuwa mama wa nyumbani tu aleee watoto
Au Muikizu...
 
Back
Top Bottom