Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu


Jenga vyumba vitatu, cha kwako, watoto wa kiume na cha wa kike.

Halafu jenga nyigine mbali kidogo pangisha acha chumba kimoja cha emergency. Kumbuka Kuna leo na kesho utahitaji msaada au wewe kutoa msaada utatumia chumba cha hiyo nyuma, angalizo usijenge karibu na kwako.
 
Mrejesho aisee,
 
Hao wanaweza kukuua ..baba mzazi ,, mara shemeji kwako wanafata nn maana ya kuoa mwanamke ataachana na wazazi wake nae ataambatana na mumewe ,,, sasa iweje wazazi wanataka kuja tena,

Huyo nahisi mpe talaka nusu sijui inaitwaje ile eda sijui akampumzike kwao maana hao watataka gawana mali mpumzishe kwanza


Yalishanikuta dada mtu na mdogo mtu kunisema kwa lugha yangu et nisielewe natoa jina la mtoto wanaongea ki lugha face impression inaonesha dada anakataa jina wamekuja na jina lao
Nilimtupilia mbali

Haya mambo huwa nakataa kila siku,, nishawahi onabaadhi ya makabila watoto kwenda kwa ndugu zao wakat wa likizo ,au kujiamulia tu, nashukuru nililelewa kwenye mazingira ya kawaida na sikwenda kwa ndugu nilipambana na wazazi wangu maisha hayo hayo hadi tukafanikiwa kuwa na maisha mazuri , hivo huwa nasema nikikuoa ukae ukijua kama ulivokuwa unaishi kwa ndugu mara unaenda mwezi huu kwa mjomba, mwezi huu kwa ma mdogo me sintataka , nakuoa ili tuishi na watoto wetu kama hatujapata tutaishi wawili tu,maswala ya wadogo zako wa kike wa kiume wakubwa hawafanyi kazi me naenda kazini wanashinda kwenye tv miguu juu nyumbani kwangu sitaki waende huko walipozaliwa


Ndugu wakishaona kuna chumba kiko wazi basi wanakuja bila taarifa unafungua geti mtu yuko na ma bag et nimefunga chuo sasa sitaki kwenda kijijin kwa mama sasa si ndo kwenu huko unakaa mjini kwa jasho la watu shenzi kabisa ,

Nililelewa kwenye ile hali kwamba mgeni yoyote atoe taarifa siku kadhaa kwanza na lengo lake la safari ni lipi sio unakuja ghafla et kesho nakuja , inabd uulize kufanyaje? Et kusalimia 😁 si huwa unanisalimia kwenye simu inatosha
 

.... Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.
mwambie mkeo unatekeleza na hili uone reaction yake
 
Wabongo unawajua😁 me nina vyumba viwili ndani ya fensi situmii nimekiweka tu wala sitaki kero ya mpangaji, kimoja kinafaa kuishi kabisa nimefanya jiko kingne naweza Lia chakula nje sasa mtu akija mara ooh si unipe chumba , kinakaa hakina kazi na mm nalipa kodi ,🤔 inabd umuulize kwan unataka kuishi bure🤔
 
Mdogo ungemfukuza kwa dharau ingia ndani kabla hasira hazijapoa toa nguo zake tupa nje funga mlango na kofi mbili nzito mwambie rudi kwenu ingia ndanii chapa kofi mke 1 kofi up to 4 kofi i swear mdogo mtu hatarudi ..lkn anakujibu hivo kesho dining anapaka mkate blueband anakupandisha na kukushusha kmmke taua mtu
Kaka amentukana asee jana hiyo usiku...
Leo kila nikitaka andika huu uzi nashindwa asee.

Nawaza mpaka mushipa ya dam na hisi inataka kupasuka.
 
Mimi napenda hii staili...hivi utasafirije mpaka unafika hujanipa taarifa.

Mume wangu anaendekeza hiyo hali ila nilimuelekeza in a hard way.watu wengine wana tabia mbovu sana
Mtu anakuja kwako 30yrs hana kazi wala hana shuhuli unamuacha na watoto wako wadogo na hausg
Siku nzima
Ndo mambo ya kusodonize watoto na kufanya ujinga na wasichana wa kazi yanaanzia hapo.
 
Wanaume wengi wakioa au wakiwa na mahusiano serious huwa wanakua mateja sijui.

Hawanaga maamuzi.

Kama nitafanikiwa kujenga nyumba yangu na nikaoa, ndugu wakae mbali na mimi sintojipendekeza kwao, nitasaidia wakiwa huko kwao. Ndugu ndio huharibu ndoa.
 
Imagine mwanamke ana mimba ya miezi miwili anataka mwezi wa tatu dada yake ambae ni jobless aje tuishi nae

(Ki umri yeye na dada wake wote ni wadogo kwangu)

Sasa unamuuliza anakuja fanya nini

Nashukuru na mimba ilitoka kipindi hio bado najitafuta nina room double hivi kweli tumepanga double dada mtu wote ni rika moja tu yeye awe ndo analala sebleni nikienda job anaingia chumbani kwetu hivi hapo unaweza ficha Siri kweli vi nguo vyako hata vya ndani shemeji si anaviona🤔 kile kabila hapana asee nashukuru yalipita ,, maana hii nyumba wangefanya hostel
 
Kama anakaa nyumba waliyohifadhiwa na wakwe unataka ujasiri huo autoe wapi?
 
Am
Lugha enyewe haieleweki.
Andika basi kingereza tujue umesoma eeh...?
Ulicho andika kama mkorogo wa malaya wa Chuo.
Amekueleza ukweli; hao sio wakurya. mzee Mkurya hata siku moja hawezi kwenda kukaa kwa mkwe wake.
Sasa hivi unajifanya kutukana wanaume wenzako huko kitoto Cha kime kimekubua nguo.

Hivi umejiuliza kwanini shemeji yako alisema amesha kuzarau kitambo tu?
Inaonekana mkeo kashamwambia wewe ni kimoja chali.
 
Duu we jamaa una moyo mkubwa sana mkeo hadi kafikia hatua hiyo inawezekana una mnyenyekea Sana, onesha uanaume wako katika hilo chukua maamuzi magumu kwa mustakabali wa maisha yenu
 
Fukuza huyo mbwa na mstopishe huyo Mzee asije ili heshima iwepo kwenye nyumba yako. Narudia tena fukuza huyo mdogo mtu akalime mtama na mihogo huko kijijini kwao.

Fukuza mbuzi huyo...hana manufaa,kisha hana shukran.
 
Halafu bado mijitu utaisikia "hivi chige utaoa lini wakati umri umeshaenda"?! STUPID. Huyo mama yangu mzazi tu hakuwahi kuniuliza nitaoa lini!!

Sipendi stress maishani mwangu... NEVER EVER!!

Na ingawaje wanawake wanafahamika kwa kutokuwa na kifua lakini hapa JF ni wanaume ndo wanaongoza kwa kulia lia.

Na nilishawahi kuhoji hapa kwamba inakuwaje wanaume ndo wanaongoza kulia lia hapa JF... hadi kesho sijapata jibu, and seems like jibu ni "oa kama hujapata jibu"!
 
Au Muikizu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…