Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Kaka nakupa siri tu dada zetu wa kikurya wanaenda kwa mbio sio kinyonge hivyo, kinachofata wewe utapigwa makofi
 
Jitahidi uwe na kipato chako tofauti na hivyo vipodozi vya mkeo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaaaa! Nimecheka kisengeee sanaaaaa
 
Tupe mrejesho kama hao Malaya bado wapo.Na kuaidi ukiendelea kuwakumbatia lazima uishie pabaya.
Tena kama huyo shemeji yako hatokuja kuolewa na wala kwenda kokote.
 
Kuna wakurya wanawake wa 2 nawafahamu, ni wababe na viburi hatari. Wametengana na waume zao. Wana miili halafu jeuri hatari.
 
Nadhani kuwe na kitchen party ya wanaume serious
Ukikosa sauti ndani ya Nyumbaa mwanamke atakupandaa Kichwanii mpaja utajua hujuii.. Na huwa hawaanzi haraka ya anaanza taratibu tuu wew unajua ndo mapenzi kumbe ndo unaanza kuburuzwaa hivyoooo...!
 
Ukikosa sauti ndani ya Nyumbaa mwanamke atakupandaa Kichwanii mpaja utajua hujuii.. Na huwa hawaanzi haraka ya anaanza taratibu tuu wew unajua ndo mapenzi kumbe ndo unaanza kuburuzwaa hivyoooo...!
Acha kaka Rik wakuria sio watu ni Machizi
 
Kumbuka hili kabila haliendi bila sekeseke (vipigo), nasikia amani ikitawala sana wanaweza rusha hata mawe juu ya paa Kisha kukinga mgongo kupata maumivu. Huyo shemeji yako machweyo ya kesho yeke hakutakiwa kuwepo kwako, ni sumu. Mlipe haki zake apoteee. Pili mkeo naye shida inaonekana anashikiwa akili kirahisi sana.
 
Tafuta mbinu zozote mtafune hyo shemeji yako .

Nyumba itatulia.
 
Mpaka leo hujaleta mrejesho
Kweli sijaleta Mrejesho ila ni Kubwa na Makubwa.
Nasubiria nifikie hatma,maana tangu huu uzi unyanyuke hakukuwepo na maelewano mpak kipind flan.So acha nyundo ya mwisho ilie basi ntakuja na Mkanda woteee alafu muone mwenzenu maisha ya ndoa yangu nilio ishi na kupitia.Alafu tujiulize sote kwa pamoja.
 
Pole mkuu
 
Kisa cha kumuacha huyo shemeji yako hadi October 17 ni nini? Ingekuwa mimi angeondoka siku hiyo hiyo mara tu baada ya kumaliza maneno yake ya shombo.
Mchaga inaonekana huna kauli kwa mkeo, pole!
 
Je, umewahi mpitia huyo shemeji yako? Kwanini amekosa adabu kiasi hicho? Isije ikawa umewahi mpitia au umefanya jambo lililokushushia heshima mbele yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…