Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Shida ni kwamba umekosa control ya hiyo familia yako kwa hiyo jiandae kugawana mali na mkeo kama mdogo wake tuu anakubabaisha hivyo wewe ni dhaifu unashindwa kumchapa vibao huyo au kumfukuza hapo?
 
Yani uwe katili haswa haswa otherwise utachezewa kama mdoli.
Yanii mwanamke Ukimchekea aisee utafanywaa mdoliii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siku mlambe kofi 2 tatu akili zimrudieee hata next time akitaka kuleta ujinga anakumbukaa kichapo anatuliaa
 
Aisee
 
Ulimuacha mpaka akamaliza kutukatana tusi la mwisho aiseeh ulitakiwa uzaliwe miaka ya manabii ile
mim angekua ameshakimbia mbio kama usain bolt au kipchoge.
 
Yaani nyumba yako,pesa yako, alafu bado unapangiwa Na Shemeji yako matusi juu hata keleb hupigi unakuja JF kwa melo kulalamika umakolo wako,ndugu yangu huyo mkeo alishakuweza Na huna maamuz yeyote hapo.

Kuna maamuzi ukiona mkeo anafanya alafu anakupa taarifa tu Na sio kuleta ombi tu jua keshakuweza.mwanamke afanyi kitu ambacho wewe mwanaume ndio MTU Wa mwisho kutoa maamuz bila kuwa sehemu kakuweza.Na hata akifanya huna chakusema Na huyo baba yako MKWE akija ndio kwisha habar yako angalia tu sumu itakuhusu unaliwa timing alamu Shemeji yako keshakupa teyar."KAMA VIPI TOA TALAKA MGAWANE VITU KILA MTU ASEPE"kinachotafutwa ni MALI HAPO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…