Mdogo wake Elton John, Jeoff Dwight

Hivi nikweli mie siamini
 
Ushoga ni kinyume cha sheria zetu. Suala kwamba makonda alikuchekesha haibadili hilo, hakuna sababu yoyote ya mtu kuukemea kwa kujificha kama ulivyoleta hoja yako ya keyboard worrier. Ushasikia mtu kakamatwa kwa kulaani ushoga Tanzania?
Na wee ushasikia hapo mashoga wana kamatwa sasa ili hali wako wazi wazi? Tena wengine wana ushahidi toshaa kabisaa mbna hakuna hatua yoyote inayo chukuliwa?

Au unadhan kuwa ruksa had watangaze rasmi? Poleeeeee, sheria gan hizooo wee unazungumzia? Mbna hazifuatwi sasa? Nikajua hata unaelewa unacho kizungumza, kumbee hollah

Haya tokaa hadharani kemea na pinga ushoga km wee unawezaaa, kwan unakwamaa wapiiii??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mbona mengine mpaka yanazomewa na vijana huko. Labda yale Mashoga yanayopenda giza ndo yako salama. Mchana upite na pampas yako uachwe? Nchi hii? Labda ile mitaa iliyolaanika.
 
Alaf hiyo elimu haje kupewa nani?. Labda kama mtakusanywa nyie then ndio mpewe. Ila kama mmeamua kwa hiari yenu kushiriki aina hiyo ya mahusiano, mkijua fika hamtoweza kuwa na watoto au kuendeleza kizazi chenu, basi msilete watu kwa ajili ya kutoa elimu kwa watoto wa watu wengine, au kuwafundisha namna ya kujielezea.
 
Ebu subiri kidogo πŸ˜‚ πŸ˜‚
hivi chooni sasa si una mwaga mavi kama bata,(kwamba unaharisha siku zote kwa sbb ya πŸ†).
Unakimbia swali πŸ˜‚
Haya mambo kama una akili kisoda bora uachane nayo bro, sio kila jambo ujitie ujuaji unaaibika kama hivi,
Lol
 
Mbona mengine mpaka yanazomewa na vijana huko. Labda yale Mashoga yanayopenda giza ndo yako salama. Mchana upite na pampas yako uachwe? Nchi hii? Labda ile mitaa iliyolaanika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuzomewa tyuuh? Hili ndo kukemea na kupinga ushogaa? Nilishakuambia wee huna hojaaa, hizi madaa ni za watu wenye akili tyuuh.
Wee nenda kacheze kule uzi wa kula tunda kimasikhara ndo size yako.

Hukuu tuachee wenye IQ zetu aseeeeh.
 
Rudi kwanza darasani kajifunze kuandika, ndo uje hapa tu argue. Ni "aje" sio "haje" duuh walimu wa Awali kazi wanayo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakimbia swali [emoji23]
Haya mambo kama una akili kisoda bora uachane nayo bro, sio kila jambo ujitie ujuaji unaaibika kama hivi,
Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wanachekeshaa mnoo, wakopigwa pin wanakimbiaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…