Mdogo wake Elton John, Jeoff Dwight

Acha wivu na masikitiko.
 
Mie ni mtanzania, sasa Kenya inahusu nn?
Ikianza hapa Bongo nistueee, nipoo nimekaa pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapinga ushoga huwa hawana pwenti kabisa! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eti nenda Kenya!! Aiseee...
 
Dah!!!
Huu Uzi nilikuwa naupita tu...

Comments za watu humu jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jambo la uhakika ushoga hupunguza umri wa kuishi .saka kandanda ila Mungu hakuumba Mwanaume awe anapigwa miti
 
Jambo la uhakika ushoga hupunguza umri wa kuishi .saka kandanda ila Mungu hakuumba Mwanaume awe anapigwa miti
Kwani wanao kufa mapema wote ni gays? Mkiishiwa hoja mkae kimyaa, sio kuanza kutoa ushubwadaaa lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamii ya wapi? idadi yenu ni ngapi?
Wakina sisi jamii inayokuzunguka popote pale ulipo, Skia ushauri wangu wewe ni sawa na mdogo wangu, Naomba utambue hili sio wanaume wote na vijana tunapenda kushiriki tendo kwa kutumia njia ndogo..

Ushauri wangu ikiwa unaona umenogewa na huwezi acha basi endelea na hatua inayofata ubadili na hayo maumbile ya kiume kabisa ufanyiwe transgender process then wapandikize mayai ya kike ili hata uwezeshika na ujauzito..
 
Mbona unahangaika sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…