Yaani so sad, Mungu atamponyaMaisha haya kubabake yani kijana mdogo na shupavu kama yule washampiga ndele.
Ama kweli hujafa hujaumbika leo mzima kesho yako huijui.
Tumuombe Mungu sana
Tumeelewa bwana bado ana machungu ya habari.palalaizi ndio nini wewe? ndio maana mashabiki wa simba mnaitwa mbu mbu mbu
DuhHivi ndio yule mama alishangilia Muna kufiwa na mwanae eeh akasema "Mungu amejibu"
Namsikitikia sana Seth, he is a cool guy.
Mungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
HANA HURUMA ndioMungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!
Una uhakika Hana huruma?Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Mbona yeye yupo kijijini sasa hilo gari la mwendo kasi litamkuta wapi.Mungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!
Elimu bure hao, wanashinda saloon kuangalia movies badala wajifunze kiswahili, lohpalalaizi ndio nini wewe? ndio maana mashabiki wa simba mnaitwa mbu mbu mbu
staki maswaliUna uhakika Hana huruma?
Kwani ugonjwa wa figo ili mtu asife anahitajika awe na milioni ngapiDah so sad,hivi Steve B nae na ugonjwa wake wa figo umeishia wapi,manake ugonjwa wa figo kama huna hela una kufa.