Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Kuna video imeniumiza na kunisikitisha kupitia Grobal TV Online ambapo mama Kanumba anaeleza kwa uchungu sana jinsi mdogo wake Kanumba Seth alivyopata ugonjwa wa ajabu uliopelekea kupalalaizi kuanzia kiunoni mpaka miguuni.

Mama anaomba msaada wa gharama za matibabu ambazo anadaiwa pale Muhimbili na Wheelchair.



So sad, wakuu tutafte namna ya kumsadia japo bahati mbaya hakutoa mawasiliano yake.

UPDATE:

Seth amefariki dunia >TANZIA: Muigizaji Seth Bosco(Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Mungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!
 
Mungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!
HANA HURUMA ndio

Hata nikibakwa nikigongwa na mwendokasi bado ukweli utabaki pale pale

HANA HURUMA
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Una uhakika Hana huruma?
 
Mungu angekuwa hana huruma kwa kauli yako hii ungepalalizi na wewe sasa hivi au ungegongwa na basi la mwendokasi muda huu tu nakwambia au ungebakwa na watu wasiojulikana alafu wakaposti picha zako ila hayatokei haya sababu MUNGU ANA HURUMA SANA NA SISI VIUMBE!
Mbona yeye yupo kijijini sasa hilo gari la mwendo kasi litamkuta wapi.
 
Dah so sad,hivi Steve B nae na ugonjwa wake wa figo umeishia wapi,manake ugonjwa wa figo kama huna hela una kufa.
 
Back
Top Bottom