Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mwanadamu wa kawaida.wewe kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanadamu wa kawaida.wewe kama nani?
😍 😍 😍Mwanadamu wa kawaida.
Samahani Kama nimekukwaza ila sikupendezwa na kauli yako.[emoji7] [emoji7] [emoji7]
sijawahi kukosea kupenda sehemu mbovuSamahani Kama nimekukwaza ila sikupendezwa na kauli yako.
Heri yako mkuu mwenye akili. Asante na hongera sana.Huna akili Wewe,Kwa Hiyo wote waliogongwa au kubakwa hawapendwi na Mungu?
Haya usiku mwema.sijawahi kukosea kupenda sehemu mbovu
u deserve all of my love anne unajua nini!?
nisamehe na mimi sometimes tunapishana but haimaanishi ndivyo itupasavyo kuishi
Nimekusamehe na zaidi am happy to see you smile [emoji5]
Naomba kuja kujibu pm ili tusivuruge thread ya watuMambo
KaribuNaomba kuja kujibu pm ili tusivuruge thread ya watu
Achana na story mungu hana huruma, Mungu hayupo kabisa. Hadithi za mungu ni za kutunga. Achana na huo ujinga.Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Kwakwel Mungu Hana huruma,, nna kaka wa rafiki yangu yanamkumba mabalaa had watu wanamuonea huruma,, sasa najiulizaga inamaana binadamu wana huruma kuliko mungu auMungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Tena usimcheke kabisa wala kumdharau mtu mwenye matatizoHujafa hujaumbika
Ova
Tatzo la walokole kupenda sana kurahisisha mambo sasa hpo mtu anataka hela matibabu yeye anasema yesu anaponya ahitaji msaada wa hela wakati tunajua dejays karibu wote wapo kwenye mchango!Kweli kaokoka lkn kama hujui mchango wake wa gharama za matibabu una simamiwa na madj wenzake,huku John Dilinga ndiye mweka hazina.Jamaa ana hitaji hela amefikia hatua ya kuuza mpaka gari yake hali yake si nzuri .