Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

sijawahi kukosea kupenda sehemu mbovu

u deserve all of my love anne unajua nini!?

nisamehe na mimi sometimes tunapishana but haimaanishi ndivyo itupasavyo kuishi

Nimekusamehe na zaidi am happy to see you smile [emoji5]
Haya usiku mwema.
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Achana na story mungu hana huruma, Mungu hayupo kabisa. Hadithi za mungu ni za kutunga. Achana na huo ujinga.
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Kwakwel Mungu Hana huruma,, nna kaka wa rafiki yangu yanamkumba mabalaa had watu wanamuonea huruma,, sasa najiulizaga inamaana binadamu wana huruma kuliko mungu au
 
Usilitaje bure Jina la Bwana Mungu wako. What goes around comes around. Hata kama kwako unaona hana huruma bado anabaki kuwa Mungu. Mungu hachunguziki hivyo usijaribu kujiuliza maswali ya kwa nini ameruhusu hiki na kuzuia kile, ukifanya hivyo lazima tu utamchukia
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
 
Mungu ana MAJARIBU magumu sana

tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI

HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje

Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia

Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!

naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.

Bila shaka hii dharau yako mungu ameipokea .. unamtukana aliyekuumba kisa mdogo wa kanumba anaumwa? Unamtunishia msuli mwenyezimungu eeh?? Haya Ngoja tukuachie janga lako
 
Kweli kaokoka lkn kama hujui mchango wake wa gharama za matibabu una simamiwa na madj wenzake,huku John Dilinga ndiye mweka hazina.Jamaa ana hitaji hela amefikia hatua ya kuuza mpaka gari yake hali yake si nzuri .
Tatzo la walokole kupenda sana kurahisisha mambo sasa hpo mtu anataka hela matibabu yeye anasema yesu anaponya ahitaji msaada wa hela wakati tunajua dejays karibu wote wapo kwenye mchango!
 
Back
Top Bottom